Small letter
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 280
- 177
Umesoma vizuri hilo andiko?Sheria kandamizi ya PAYE inalazimisha mtu yeyote anaepata mshahara kuanzia 540,000 akatwe 30% ya kodi...ni 30% ya ile pesa inayovuka baada ya kima cha chini...sio 540000 yote inayokatwa...
Kama kima chako cha chini cha mshahara 350,000 basi inayokatwa hiyo 30% ni ile inayozidi yaani 190,000 ndiyo taxable kwa 30%
Tusichanganye hapa.
Labda kama sheria ya kodi imebadilika maana nishatoka kwenye payroll tangu 2015
Sawa kabisa hii,Umesoma vizuri hilo andiko?
Umeambiwa mtu aliyefuluzwa kazi au kwa lugha nyepesi aliyestaafishwa kwa lazima na Mwajiri kwanini akatwe Kodi?
Je, malipo anayolipwa sio pension fund Ile?
Mimi najua Udini mkubwa uko CHADEMAUWT hamuwezi kuelewa
HUU NI UONEVU WA KIWANGO CHA JUU SANA KWA WAFANYAKAZI WALIOPATA MATATIZO KAZINIUkinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti.
Mhe Mjumbe habari,
Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.
Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata mgogoro kazini na baadae kuumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kurejea kazini au kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)
Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwa anayo hiari ya kufanya hivyo.
Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?
Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya mishahara yao wanayopokea kwa pamoja | Mkupuo (lum psum) ikiwa ni baada ya kumaliza tofauti zao na waajiri wao, Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 5 zilikusanywa?
Mhe Mjumbe, Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.
Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.
Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.
Asante naomba kuwasilisha.
Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Japo muhimu sana hili lizingatiwe na tumeUkinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti.
Mhe Mjumbe habari,
Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.
Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata mgogoro kazini na baadae kuumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kurejea kazini au kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)
Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwa anayo hiari ya kufanya hivyo.
Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?
Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya mishahara yao wanayopokea kwa pamoja | Mkupuo (lum psum) ikiwa ni baada ya kumaliza tofauti zao na waajiri wao, Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 5 zilikusanywa?
Mhe Mjumbe, Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.
Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.
Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.
Asante naomba kuwasilisha.
Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Sanaa aiseeHUU NI UONEVU WA KIWANGO CHA JUU SANA KWA WAFANYAKAZI WALIOPATA MATATIZO KAZINI
Tulia UWTMimi najua Udini mkubwa uko CHADEMA
Ni uonevu mkubwa kwa waliofukuzwa kaziHii haijakaa sawa kabisa
Nimesoma andiko lako zuri ila eneo moja tu utawalaumu TRA. TRA wao wanatekeleza sheria zilizotungwa na kupitishwa bungeni na wasipozifata huwa wanachukuliwa hatua kama vile CAG kwenye kaguzi zake , PCCB n.k. Nadhani cha msingi ni kuomba kamati ipendekeze muswada katika bunge lijalo la marekebisho ya sheria kulitizama upya. Tukisema TRA wao wataendelea tu sababu ni sheria hawana budi kutizimiza takwa la sheria.Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti.
Mhe Mjumbe habari,
Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.
Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata mgogoro kazini na baadae kuumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kurejea kazini au kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)
Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwa anayo hiari ya kufanya hivyo.
Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?
Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya mishahara yao wanayopokea kwa pamoja | Mkupuo (lum psum) ikiwa ni baada ya kumaliza tofauti zao na waajiri wao, Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 5 zilikusanywa?
Mhe Mjumbe, Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.
Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.
Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.
Asante naomba kuwasilisha.
Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Kutazamwa tu!!! Siyo kwamba iitazamwe kisha ifanyiwe kazi!!!Ni hoja ambayo inahitaji kutazamwa...
Nadhani ndio maana ujumbe unakwenda kwa Wajumbe wa tume ya Rais ili wafanye hayoNimesoma andiko lako zuri ila eneo moja tu utawalaumu TRA. TRA wao wanatekeleza sheria zilizotungwa na kupitishwa bungeni na wasipozifata huwa wanachukuliwa hatua kama vile CAG kwenye kaguzi zake , PCCB n.k. Nadhani cha msingi ni kuomba kamati ipendekeze muswada katika bunge lijalo la marekebisho ya sheria kulitizama upya. Tukisema TRA wao wataendelea tu sababu ni sheria hawana budi kutizimiza takwa la sheria.
Acha kuwaonea TRA bure. TRA hawatozi kodi kwa utashi wao; ni sheria zilizopitishwa na Bunge (akiwemo mbunge wako). Kwa hyo jikite kwenye marekebisho ya sheria zilizopo na sio kuwalaumu TRAUkinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti.
Mhe Mjumbe habari,
Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.
Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata mgogoro kazini na baadae kuumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kurejea kazini au kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)
Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwa anayo hiari ya kufanya hivyo.
Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?
Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya mishahara yao wanayopokea kwa pamoja | Mkupuo (lum psum) ikiwa ni baada ya kumaliza tofauti zao na waajiri wao, Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 5 zilikusanywa?
Mhe Mjumbe, Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.
Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.
Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.
Asante naomba kuwasilisha.
Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Siku zote TRA ndiko wanalaumiwa hata kama wao hawajatunga hizo Sheria but this is collective responsibilityAcha kuwaonea TRA bure. TRA hawatozi kodi kwa utashi wao; ni sheria zilizopitishwa na Bunge (akiwemo mbunge wako). Kwa hyo jikite kwenye marekebisho ya sheria zilizopo na sio kuwalaumu TRA
Unahoja ya msingi na nadhani hii Rais mwenyewe aiangalie kwa ukaribu sanaUkinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti.
Mhe Mjumbe habari,
Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.
Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata matatizo kazini na baadae kumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria na Mwajiri kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)
Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwani anayo hiari ya kufanya hivyo.
Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?
Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya kiasi watakacholipwa kama malimbikizo kwa pamoja au Mkupuo (lump sum).
Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 4 iliyokusanywa?
Mhe Mjumbe, Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.
Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.
Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.
Asante naomba kuwasilisha.
Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Hii inasikitisha sana,😭😭Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti.
Mhe Mjumbe habari,
Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.
Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata matatizo kazini na baadae kumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria na Mwajiri kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)
Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwani anayo hiari ya kufanya hivyo.
Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?
Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya kiasi watakacholipwa kama malimbikizo kwa pamoja au Mkupuo (lump sum).
Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 4 iliyokusanywa?
Mhe Mjumbe, Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.
Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.
Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.
Asante naomba kuwasilisha.
Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.