Ombi maalumu: Tafadhali mwenye mawasiliano na Mjumbe yoyote aliyeteuliwa na Rais kupitia Upya misururu ya Kodi TRA anifikishie ujumbe huu muhimu

Ombi maalumu: Tafadhali mwenye mawasiliano na Mjumbe yoyote aliyeteuliwa na Rais kupitia Upya misururu ya Kodi TRA anifikishie ujumbe huu muhimu

Hili jambo ni serious sana TRA unamkataje Kodi mtu aliyefuluzwa kazi bila kujali atapata kazi au laaa?

HUU NI UONEVU.
 
Sheria kandamizi ya PAYE inalazimisha mtu yeyote anaepata mshahara kuanzia 540,000 akatwe 30% ya kodi...ni 30% ya ile pesa inayovuka baada ya kima cha chini...sio 540000 yote inayokatwa...

Kama kima chako cha chini cha mshahara 350,000 basi inayokatwa hiyo 30% ni ile inayozidi yaani 190,000 ndiyo taxable kwa 30%

Tusichanganye hapa.

Labda kama sheria ya kodi imebadilika maana nishatoka kwenye payroll tangu 2015
Umesoma vizuri hilo andiko?

Umeambiwa mtu aliyefuluzwa kazi au kwa lugha nyepesi aliyestaafishwa kwa lazima na Mwajiri kwanini akatwe Kodi?

Je, malipo anayolipwa sio pension fund Ile?
 
Umesoma vizuri hilo andiko?

Umeambiwa mtu aliyefuluzwa kazi au kwa lugha nyepesi aliyestaafishwa kwa lazima na Mwajiri kwanini akatwe Kodi?

Je, malipo anayolipwa sio pension fund Ile?
Sawa kabisa hii,
 
Sasa mtu Kafukuzwa kazi Kodi ya Nini tena hapo mbona kama huu ni uuwaji wanafanya TRA?
 
Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti
.

Mhe Mjumbe habari,

Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.

Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata mgogoro kazini na baadae kuumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kurejea kazini au kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)

Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwa anayo hiari ya kufanya hivyo.

Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?

Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya mishahara yao wanayopokea kwa pamoja | Mkupuo (lum psum) ikiwa ni baada ya kumaliza tofauti zao na waajiri wao, Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 5 zilikusanywa?

Mhe Mjumbe,
Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.

Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.

Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.


Asante naomba kuwasilisha.

Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
HUU NI UONEVU WA KIWANGO CHA JUU SANA KWA WAFANYAKAZI WALIOPATA MATATIZO KAZINI
 
Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti
.

Mhe Mjumbe habari,

Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.

Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata mgogoro kazini na baadae kuumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kurejea kazini au kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)

Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwa anayo hiari ya kufanya hivyo.

Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?

Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya mishahara yao wanayopokea kwa pamoja | Mkupuo (lum psum) ikiwa ni baada ya kumaliza tofauti zao na waajiri wao, Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 5 zilikusanywa?

Mhe Mjumbe,
Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.

Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.

Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.


Asante naomba kuwasilisha.

Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Japo muhimu sana hili lizingatiwe na tume
 
Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti
.

Mhe Mjumbe habari,

Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.

Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata mgogoro kazini na baadae kuumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kurejea kazini au kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)

Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwa anayo hiari ya kufanya hivyo.

Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?

Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya mishahara yao wanayopokea kwa pamoja | Mkupuo (lum psum) ikiwa ni baada ya kumaliza tofauti zao na waajiri wao, Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 5 zilikusanywa?

Mhe Mjumbe,
Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.

Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.

Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.


Asante naomba kuwasilisha.

Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Nimesoma andiko lako zuri ila eneo moja tu utawalaumu TRA. TRA wao wanatekeleza sheria zilizotungwa na kupitishwa bungeni na wasipozifata huwa wanachukuliwa hatua kama vile CAG kwenye kaguzi zake , PCCB n.k. Nadhani cha msingi ni kuomba kamati ipendekeze muswada katika bunge lijalo la marekebisho ya sheria kulitizama upya. Tukisema TRA wao wataendelea tu sababu ni sheria hawana budi kutizimiza takwa la sheria.
 
Ni sheria ndiyo inayoelekeza TRA kukusanya hiyo pesa kwa sababu hata kama mtu kafukuzwa kazi alicholipwa ni ni haki yake kwa maana mshahara wake. Na sihivo tu hata pension kwa sasa ukipokea mshahara haikwatwi kodi wanachukua mshahara toa pension kinachobaki kinakatwa kodi. Mwisho ukija chukua pension yako ndiyo utakutana na kodi sababu ni mapato. Sheria ya kodi inasema mtu atakatwa kodi kwenye uwekezaji, biashara na ajira hivo mapato yoyote hapo unakatwa kodi. tra wao wanapewa sheria hizi kuzisimamia na kuhakikisha wanakusanya kwa mujibu wa sheria hizi. Cha msingi ni uomba tume hii ipitie hili na liweze fanyiwa marekebisho kwa kupitia Bungeni lasivyo TRA wataendelea sababu ni sheria wamepewa kutimiza.
Mfano nimesoma hapa kakitabu ka tra
anayepata smahara 270,000 kwa mwezi halipi kodi
270,000 mpaka 520,000 8% atakatwa kwa kile kinachozidi 270,000 yaani 520,000-270,000=250,000 ndiyo itakatwa 8%
na 520,000 mpaka 760,000 atakatwa 20% ya kinachozidi 520,000+20,000
760,000 mpaka 1,000,000 atakatwa 25% inachozidi 520,000+68,000
na zaidi ya 1,000,000 kinachozidi atakatwa 30% +128,000
 
Nimesoma andiko lako zuri ila eneo moja tu utawalaumu TRA. TRA wao wanatekeleza sheria zilizotungwa na kupitishwa bungeni na wasipozifata huwa wanachukuliwa hatua kama vile CAG kwenye kaguzi zake , PCCB n.k. Nadhani cha msingi ni kuomba kamati ipendekeze muswada katika bunge lijalo la marekebisho ya sheria kulitizama upya. Tukisema TRA wao wataendelea tu sababu ni sheria hawana budi kutizimiza takwa la sheria.
Nadhani ndio maana ujumbe unakwenda kwa Wajumbe wa tume ya Rais ili wafanye hayo
 
Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti
.

Mhe Mjumbe habari,

Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.

Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata mgogoro kazini na baadae kuumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kurejea kazini au kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)

Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwa anayo hiari ya kufanya hivyo.

Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?

Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya mishahara yao wanayopokea kwa pamoja | Mkupuo (lum psum) ikiwa ni baada ya kumaliza tofauti zao na waajiri wao, Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 5 zilikusanywa?

Mhe Mjumbe,
Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.

Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.

Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.


Asante naomba kuwasilisha.

Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Acha kuwaonea TRA bure. TRA hawatozi kodi kwa utashi wao; ni sheria zilizopitishwa na Bunge (akiwemo mbunge wako). Kwa hyo jikite kwenye marekebisho ya sheria zilizopo na sio kuwalaumu TRA
 
Acha kuwaonea TRA bure. TRA hawatozi kodi kwa utashi wao; ni sheria zilizopitishwa na Bunge (akiwemo mbunge wako). Kwa hyo jikite kwenye marekebisho ya sheria zilizopo na sio kuwalaumu TRA
Siku zote TRA ndiko wanalaumiwa hata kama wao hawajatunga hizo Sheria but this is collective responsibility
 
Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti
.

Mhe Mjumbe habari,

Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.

Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata matatizo kazini na baadae kumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria na Mwajiri kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)

Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwani anayo hiari ya kufanya hivyo.

Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?

Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya kiasi watakacholipwa kama malimbikizo kwa pamoja au Mkupuo (lump sum).

Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 4 iliyokusanywa?

Mhe Mjumbe,
Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.

Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.

Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.


Asante naomba kuwasilisha.

Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Unahoja ya msingi na nadhani hii Rais mwenyewe aiangalie kwa ukaribu sana
 
Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti
.

Mhe Mjumbe habari,

Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.

Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata matatizo kazini na baadae kumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria na Mwajiri kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)

Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwani anayo hiari ya kufanya hivyo.

Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?

Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya kiasi watakacholipwa kama malimbikizo kwa pamoja au Mkupuo (lump sum).

Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 4 iliyokusanywa?

Mhe Mjumbe,
Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.

Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.

Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.


Asante naomba kuwasilisha.

Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Hii inasikitisha sana,😭😭
 
Back
Top Bottom