Ombi maalumu: Tafadhali mwenye mawasiliano na Mjumbe yoyote aliyeteuliwa na Rais kupitia Upya misururu ya Kodi TRA anifikishie ujumbe huu muhimu

Ombi maalumu: Tafadhali mwenye mawasiliano na Mjumbe yoyote aliyeteuliwa na Rais kupitia Upya misururu ya Kodi TRA anifikishie ujumbe huu muhimu

Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti
.

Mhe Mjumbe habari,

Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.

Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata matatizo kazini na baadae kumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria na Mwajiri kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)

Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwani anayo hiari ya kufanya hivyo.

Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?

Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya kiasi watakacholipwa kama malimbikizo kwa pamoja au Mkupuo (lump sum).

Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 4 iliyokusanywa?

Mhe Mjumbe,
Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.

Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.

Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.


Asante naomba kuwasilisha.

Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Hili jambo Lina sura ya uonevu lifanyiwe kazi
 
Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti
.

Mhe Mjumbe habari,

Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.

Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata matatizo kazini na baadae kumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria na Mwajiri kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)

Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwani anayo hiari ya kufanya hivyo.

Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?

Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya kiasi watakacholipwa kama malimbikizo kwa pamoja au Mkupuo (lump sum).

Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 4 iliyokusanywa?

Mhe Mjumbe,
Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.

Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.

Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.


Asante naomba kuwasilisha.

Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Hii haijakaa sawa
 
Hii rangi ya kijani shambani mpaka ije kubadilika tutakuwa tumechoka sana mbaya zaidi kuna wajinga wanaendelea kuimwagilia maji ili iendelee kuwa kijani zaidi
Mbombo ngafu
 
Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti
.

Mhe Mjumbe habari,

Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.

Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata matatizo kazini na baadae kumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria na Mwajiri kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)

Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwani anayo hiari ya kufanya hivyo.

Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?

Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya kiasi watakacholipwa kama malimbikizo kwa pamoja au Mkupuo (lump sum).

Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 4 iliyokusanywa?

Mhe Mjumbe,
Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.

Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.

Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.


Asante naomba kuwasilisha.

Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Hii Kodi ifanyiwe marekebisho
 
Tatizo la kodi Tanzania na ugomvi wa TRA na wafanyabiashara linatengenezwa na uropokaji wa ‘bi-tozo’.

Watanzania ni watu wakufikiria vitu kichwani na kutaka iwe ivyo, PAYE ni aspect income tax; unalipa kutokana na kipato aijalishi ulikuwa na mgogoro kazini au la. Pili mshahara wa 270,000-520,000 tax rate 8%, hata kama ni lump sump TRA hawawezi kata zaidi hiyo, vinginevyo umetapeliwa most likely na wajanja huko kazini kwako.

Kodi nyingi Tanzania sio tatizo, well except import za machinery na magari. Hizi kodi zinatakiwa kushuka sana kwa faida ya kuchochea uchumi. Ikiwezekana mashine za uzalishaji kuwa bure kabisa kuingiza nchini na kupewa 100% capital allowance kama wako serious kutatua tatizo la ajira na kuchochea uzalishaji.
 
Tatizo la kodi Tanzania na ugomvi wa TRA na wafanyabiashara linatengenezwa na uropokaji wa ‘bi-tozo’.

Watanzania ni watu wakufikiria vitu kichwani na kutaka iwe ivyo, PAYE ni aspect income tax; unalipa kutokana na kipato aijalishi ulikuwa na mgogoro kazini au la. Pili mshahara wa 270,000-520,000 tax rate 8%, hata kama ni lump sump TRA hawawezi kata zaidi hiyo, vinginevyo umetapeliwa most likely na wajanja huko kazini kwako.

Kodi nyingi Tanzania sio tatizo, well except import za machinery na magari. Hizi kodi zinatakiwa kushuka sana kwa faida ya kuchochea uchumi. Ikiwezekana mashine za uzalishaji kuwa bure kabisa kuingiza nchini na kupewa 100% capital allowance kama wako serious kutatua tatizo la ajira na kuchochea uzalishaji.
Acha Ubinafsi wa kindezi, Mtu aliyefukuzwa kazi unamkata Kodi ya nini?
 
Acha Ubinafsi wa kindezi, Mtu aliyefukuzwa kazi unamkata Kodi ya nini?
It’s called income tax, unalipa kodi kutokana na mapato ya mshahara kwa mujibu wa sheria.

Wewe kutaka kutengeneza nadharia zako zingine, akuondoi uwepo wa sheria wa kanuni za taxation duniani; sio Tanzania tu.
 
It’s called income tax, unalipa kodi kutokana na mapato ya mshahara kwa mujibu wa sheria.

Wewe kutaka kutengeneza nadharia zako zingine, akuondoi uwepo wa sheria wa kanuni za taxation duniani; sio Tanzania tu.
Wewe ni sifuri, Nimejua huna akili kabisa unaforce sana uonekane zimo
 
Tatizo la kodi Tanzania na ugomvi wa TRA na wafanyabiashara linatengenezwa na uropokaji wa ‘bi-tozo’.

Watanzania ni watu wakufikiria vitu kichwani na kutaka iwe ivyo, PAYE ni aspect income tax; unalipa kutokana na kipato aijalishi ulikuwa na mgogoro kazini au la. Pili mshahara wa 270,000-520,000 tax rate 8%, hata kama ni lump sump TRA hawawezi kata zaidi hiyo, vinginevyo umetapeliwa most likely na wajanja huko kazini kwako.

Kodi nyingi Tanzania sio tatizo, well except import za machinery na magari. Hizi kodi zinatakiwa kushuka sana kwa faida ya kuchochea uchumi. Ikiwezekana mashine za uzalishaji kuwa bure kabisa kuingiza nchini na kupewa 100% capital allowance kama wako serious kutatua tatizo la ajira na kuchochea uzalishaji.
Hapa ndipo watu wanashindwa kuelewa tatizo lipo wapi. Nimezitazama sheria za kodi hakuna sehemu imesema mtu aliyeachishwa kazi na kulipwa atasamehewa kodi. Nimefatilia kwenye tovuti ya tra kuona maswala ya kodi ni kuwa mapato yatokanayo na ajira , uwekezaji na biashara ndipo wanapokata kodi.Ni kweli inauma mno lakini ndiyo sheria ilivyowekwa.
 
Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti
.

Mhe Mjumbe habari,

Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.

Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata matatizo kazini na baadae kumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria na Mwajiri kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)

Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwani anayo hiari ya kufanya hivyo.

Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?

Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya kiasi watakacholipwa kama malimbikizo kwa pamoja au Mkupuo (lump sum).

Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 4 iliyokusanywa?

Mhe Mjumbe,
Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.

Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.

Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.


Asante naomba kuwasilisha.

Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Hili ni jambo jingine kati ya mengi ambayo Samia ameweka kama msingi wa Mageuzi
 
Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti
.

Mhe Mjumbe habari,

Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.

Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata matatizo kazini na baadae kumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria na Mwajiri kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)

Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwani anayo hiari ya kufanya hivyo.

Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?

Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya kiasi watakacholipwa kama malimbikizo kwa pamoja au Mkupuo (lump sum).

Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 4 iliyokusanywa?

Mhe Mjumbe,
Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.

Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.

Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.


Asante naomba kuwasilisha.

Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Ujumbe umefika
 
Ukinunua dai Risiti,
Ukiuza toa Risiti
.

Mhe Mjumbe habari,

Kwanza, natumia jukwaa hili kukupongeza wewe binafsi pamoja na wenzako wote kwa kuaminiwa na kuchaguliwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa wajumbe wa Kamati hii maalum ya kusikiliza sauti za wasiokuwa na sauti juu ya Kodi mbalimbali kandamizi hapa nchini.

Mhe Mjumbe, TRA kupitia Sheria mbovu wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata matatizo kazini na baadae kumaliza mgogoro ule na mwajiri wake kisha kuondolewa kazini na mwajiri huyo kwa mujibu wa Sheria na Mwajiri kulazimika kumlipa mishahara yake yote iliyopita au ijayo kwa mkupuo ( Lump sum)

Mhe Mjumbe, Mapato anayoyapa mfanyakazi huyu asiye na ajira baada ya kufukuzwa kazi hayana tofauti kabisa na "PENSION FUND" hasa pale Mwajiri anapogoma kumrejesha kazini Kwa mujibu wa Sheria kwani anayo hiari ya kufanya hivyo.

Mhe mjumbe, Ile Mishahara anayolipwa kwa Mkupuo ndio pesa pekee anayobakiwa nayo mfanyakazi huyu wa Kitanzania baada ya kukosa ajira maana yake hiyo ni sawa kabisa na PENSION FUND kwanini ikatwe Kodi?

Mhe Mjumbe, Ni kwanini basi TRA wanawatoza wafanyakazi hawa Kodi tena ya kiasi cha asilimia 30 ya kiasi watakacholipwa kama malimbikizo kwa pamoja au Mkupuo (lump sum).

Kwanini 30% kwa mtu mwenye Mshahara wa laki 4 iliyokusanywa?

Mhe Mjumbe,
Tutafakari hili vizuri, Kweli mtu anayelipwa tupesa twake tena pengine Mwajiri wake kaamua kuachana nae ili vimsaidie kufungua kabishara ili ale na wanae kisha afe nyie mnagawana nae karibu nusu kwa nusu lazima tuwe na huruma hasa kwa hawa wanyonge tunaowaongoza waliokosa ajira.

Mfanyakazi akifukuzwa kazi hana tofauti na yule aliyestaafishwa kwa lazima kwa maoni ya wengi hatakiwi kukatwa Kodi ya aina yoyote kwani anacholipwa hakina tofauti na Pension funds.

Nashauri Kodi hii iondolewe Mfanyakazi akishinda kesi na Mwajiri akagoma kumrejesha kazini basi Mishahara yake isikatwe Kodi kwani mapato hayo hayana tofauti na Pension funds.


Asante naomba kuwasilisha.

Mungu awaongoze vema ili mlisaidie Taifa na Rais wetu.
Hii naunga mkono iondolewe
 
Back
Top Bottom