Ombi: Mwenye nakala ya hukumu ya kesi Dhidi ya Ole Sabaya aniwekee humu

Maseto

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
944
Reaction score
545
Wakuu,habari.
Naombeni hukumu ya Sabaya ili nijiridhishe baada ya kupata utata wa maamuzi ya mahakama.
Nimepata utata kwa sababu ushahidi niliokuwa nafuatilia sikutegemea angekutwa na hatia.
 
Wakuu,habari.
Naombeni hukumu ya Sabaya ili nijiridhishe baada ya kupata utata wa maamuzi ya mahakama.
Nimepata utata kwa sababu ushahidi niliokuwa nafuatilia sikutegemea angekutwa na hatia.
Nakala za hukumu zimefichwa baada ya hakimu kuhongwa na genge la mbowe.

Haijawahi kutokea anayetuhumiwa kuiba laki 3 na simu ya tecno kuhukumiwa miaka 30.
Mungu atawalipa kwa gaidi kufungwa na yeye
 
Nakala ya hukumu baada ya hukumu inakuwa for public consumption. Mleta post yupo sawa. Sio hadi kila mtu aende pale mahakamani Arusha ndio apate nakala ya hukumu. Nakala iwekwe wazi kwenye website au isambazwe kwenye kurasa mbali mbali za mitandao ya kijamii.
 
Wakuu,habari.
Naombeni hukumu ya Sabaya ili nijiridhishe baada ya kupata utata wa maamuzi ya mahakama.
Nimepata utata kwa sababu ushahidi niliokuwa nafuatilia sikutegemea angekutwa na hatia.
Kama hauna ugomvi na hukumu yenyewe ukienda alipopewa hiyo hukumu bila shaka utapata ushirikiano.
 
kama na sisi wananchi tunayo haki ya kuiona na kuisoma sasa kwa nini imeandikwa kwa lugha ya kizungu badala ya lugha yetu ya Kiswahili?!
 
Nenda Arusha....ukaombe waanze kuchapa...utoe pesa ya kuchapa kwa malarani ili waikimbize faster ukute page 200 hivi au zaidi....ni ka process kidogo
 
kama na sisi wananchi tunayo haki ya kuiona na kuisoma sasa kwa nini imeandikwa kwa lugha ya kizungu badala ya lugha yetu ya Kiswahili?!
Elimu imefanywa Bure ili uweze kupata vyote,changamkia fursa hiyo.
 
Elimu imefanywa Bure ili uweze kupata vyote,changamkia fursa hiyo.
kwa hiyo kiingereza ni Elimu au lugha?
tuache ulimbukeni, Mahakama zinapaswa ziandike hukumu kwa kiswahili sio kizungu.
 
Wewe unafijiria je?
Kizungu ni lugha kama ilivyo kiswahili.
tatizo watanzania walio wengi bado wapo gizani wakidhani kuwa kujua kizungu ni dalili ya kuelimika kumbe sio!!
kama kujua kizungu ni kuelimika basi waingereza wote wangekuwa maprofesa.
tumieni kiswahili kwa maendeleo yenu, lkn pia tujifunze kizungu kwa ajili ya mawasiliano.
 
Je hicho kiswahili na hicho kiingezera si elimu, je wajua wapo maprofesa wa elimu za lugha hizo ?.
 
Sasa zitasambazwa hukumu ngapi ?kaiba tecno na 35,000 acha apate haki yake
 
Nakala za hukumu zimefichwa baada ya hakimu kuhongwa na genge la mbowe.

Haijawahi kutokea anayetuhumiwa kuiba laki 3 na simu ya tecno kuhukumiwa miaka 30.
Mungu atawalipa kwa gaidi kufungwa na yeye
Hahahaha hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmepoteana na bado tutawanyoosha matako nyie mlifanya nchi ya baba yenu mavi yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…