Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,036
- 5,039
Hukumu kibao zipo mtandaoniSasa zitasambazwa hukumu ngapi ?kaiba tecno na 35,000 acha apate haki yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukumu kibao zipo mtandaoniSasa zitasambazwa hukumu ngapi ?kaiba tecno na 35,000 acha apate haki yake
Kumbe nyie watetea legacy hata Kingereza hamkijui kama yule mungu mfu wa chato.wananchi tunaomba Hukumu za Mahakama ziandikwe kwa Lugha ya Kiswahili.
tunziomba Mahakama zetu kama kweli zipo kwa ajili ya kutoa huduma kwa wananchi wa Tanzania.
Tafuta hela wewe utunze familia na usaidie wazazi wako acha kiherehereWakuu,habari.
Naombeni hukumu ya Sabaya ili nijiridhishe baada ya kupata utata wa maamuzi ya mahakama.
Nimepata utata kwa sababu ushahidi niliokuwa nafuatilia sikutegemea angekutwa na hatia.
Ficha huo ujinga Mbowe angekuwa na huo uwezo asingekaa ndani mpaka leoNakala za hukumu zimefichwa baada ya hakimu kuhongwa na genge la mbowe.
Haijawahi kutokea anayetuhumiwa kuiba laki 3 na simu ya tecno kuhukumiwa miaka 30.
Mungu atawalipa kwa gaidi kufungwa na yeye
Wasiliana na wanasheria wakeWakuu,habari.
Naombeni hukumu ya Sabaya ili nijiridhishe baada ya kupata utata wa maamuzi ya mahakama.
Nimepata utata kwa sababu ushahidi niliokuwa nafuatilia sikutegemea angekutwa na hatia.
kenya yenyewe wanaojua kizungu ni 20% sasa Tanzania inaweza ikawa 5%Kumbe nyie watetea legacy hata Kingereza hamkijui kama yule mungu mfu wa chato.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakala za hukumu zimefichwa baada ya hakimu kuhongwa na genge la mbowe.
Haijawahi kutokea anayetuhumiwa kuiba laki 3 na simu ya tecno kuhukumiwa miaka 30.
Mungu atawalipa kwa gaidi kufungwa na yeye
Kivipi? na mawakili wake wamewezaje kutuma maombi ya rufani pasina kuwa na nakala ya hukumu?Huwezi kuipata kwa sasa...
Still confidential to the public...Kivipi? na mawakili wake wamewezaje kutuma maombi ya rufani pasina kuwa na nakala ya hukumu?