Ombi: Nahitaji mwana-JF (KE) wa kubadilishana naye mawazo wikiend hii. Just kubadilishana mawazo!

sasa kubadilishana mawazo ndo hadi kuonana? na ungebadilisha mawazo hapahapa ungepata wigo mpana zaidi kuliko kuji-confine na jf-ke moja tu! ni mtizamo tu. wknd njema
 
sasa kubadilishana mawazo ndo hadi kuonana? na ungebadilisha mawazo hapahapa ungepata wigo mpana zaidi kuliko kuji-confine na jf-ke moja tu! ni mtizamo tu. wknd njema

Jamani msinibeze hasa nyie wahusika. naombeni mje faragha.
 
iyo avatar tuu nikimbie mie daaaaaaah

ahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa!...bebii usiogope bana_nenda kajaribu bahati yako,...sisi wazee hatuna ubaya na vijana kama nyie
 
kaka chagua warembo ka wa 3 ivi.. Ingawa hatujui kama kweli watakua ni wa dada.. Afu wewe ndo uwa inbox.. Lazma m1 atarespond +vly.
 
kaka chagua warembo ka wa 3 ivi.. Ingawa hatujui kama kweli watakua ni wa dada.. Afu wewe ndo uwa inbox.. Lazma m1 atarespond +vly.

na kama wote wa 3 waki respond +vly
 
kaka chagua warembo ka wa 3 ivi.. Ingawa hatujui kama kweli watakua ni wa dada.. Afu wewe ndo uwa inbox.. Lazma m1 atarespond +vly.
aanze na wewe
 
kaka chagua warembo ka wa 3 ivi.. Ingawa hatujui kama kweli watakua ni wa dada.. Afu wewe ndo uwa inbox.. Lazma m1 atarespond +vly.

Hiyo ngumu.
Inabidi wao ndo wagonge hodi faragha.
 
duh....hata mimi mawazo yangu yamevurugika kweli....nahitaji wa kumbadilishia....upo wapi......?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…