Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,619
kwani nitajuaje humu jf unajuaje huyu ni she na huyu ni he wengine mababu wanajifanya warembo hukuaanze na wewe[/quote]
kwani data ni 'she'msije toana meno hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani nitajuaje humu jf unajuaje huyu ni she na huyu ni he wengine mababu wanajifanya warembo hukuaanze na wewe[/quote]
kwani data ni 'she'msije toana meno hapa
Nahitaji kupanua wigo wa mambo ya ki-social kwa hiyo naomba mwana-jf yeyote yule wa kike aniPM ili tuweze kuona namna gani tunaweza kuonana wikiendi hii kwa ajili ya kubadilishana mawazo tu! Naomba PM.
Nahitaji kupanua wigo wa mambo ya ki-social kwa hiyo naomba mwana-jf yeyote yule wa kike aniPM ili tuweze kuona namna gani tunaweza kuonana wikiendi hii kwa ajili ya kubadilishana mawazo tu! Naomba PM.
Mkenge huo.
Jibu pm sasa
Bila shaka wewe domo zege
Nahitaji kupanua wigo wa mambo ya ki-social kwa hiyo naomba mwana-jf yeyote yule wa kike aniPM ili tuweze kuona namna gani tunaweza kuonana wikiendi hii kwa ajili ya kubadilishana mawazo tu! Naomba PM.
Mmmmmmm, JF ya siku hizi ina vibweka!!! Mtu unakuwa lonely halafu unataka kumpata wa kubadilishana mawazo tu kwa mwaliko wa jumla kupitia mtandao. Nina shaka huyo atakayejitoa mhanga waweza kumbadilikia, hata ma-fataki wanaanzaga hivyo hivyo, kwa pipi, penseli, peremende etc mwishowe binti anapata mimba. Nakutakia kitu kimoja tu, nia yako iskwamishwe, na ushindwe na ulegeeeeee!!!! Kama nimekuudhi samahani, niko natetea haki za akina mama.
Mmmmmmm, JF ya siku hizi ina vibweka!!! Mtu unakuwa lonely halafu unataka kumpata wa kubadilishana mawazo tu kwa mwaliko wa jumla kupitia mtandao. Nina shaka huyo atakayejitoa mhanga waweza kumbadilikia, hata ma-fataki wanaanzaga hivyo hivyo, kwa pipi, penseli, peremende etc mwishowe binti anapata mimba. Nakutakia kitu kimoja tu, nia yako iskwamishwe, na ushindwe na ulegeeeeee!!!! Kama nimekuudhi samahani, niko natetea haki za akina mama.
Asante sana Mama Mdogo kwa neno la leo zuri Kiritimba soma hapa na utakua umeokoka.
Jamani hivi sasa ni saa saba na nusu mchana.
We mama mdogo hujui kuwa mtandao ni njia mojawapo ya mawasiliano. Na kwa nini uwasemee wewe, mabinti wa humu wote ni watu wazima tena wenye akili timamu. Kwa hiyo kama ni suala la kutetea haki katetee haki za watoto au wanawake wanaoonewa. Mimi hapa nimeomba, na natumaini mabinti wengi watanielewa kwani wengi humu ni werevu sana.
USIWAPOTOSHE NA USIWAKIMBIZIE BAHATI YAO. LAKINI: USINIHARIBIE.
sana tuuu hata mimi huwa inanizingua sana hasa j2 daaaa!mmh! wekend inazingua wengi eeh!