Ombi: Naomba Pitia Hapa Utajifunza kitu na wewe!

Pamoja na kua unasomea engineering, kazi za sales na marketing zingekufaa zaidi.

Unaweza kuwa salesman mzuri au kazi za marketing.
Mwanangu ume hit the Point Kabisaa ndo Maana najiulizaga kwanini nikitaka kuuza kitu au kufanya kibiashra kwa Faida kubwa Haijawahi kukwama kwanini? Nilijua ni Kismati tyu asee kumbee inachangia!
 
Ukikaa kwenye wajinga wengi unaweza kujiona una high convincing power kwa sababu wajinga wengi wamekuzunguka.

Ila silazima uwe na high convincing power kuwa convince wajinga.
 
"Hakuwah onekana na binti
Hakuihas diin
Alikua mtu wa maadiili
Lakin alikufa kwa ngoma"

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Umefanikiwa kutuconvice kusoma ulicho post

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 

Anza kwa ku edit post yako na kuondoa hayo ma capital letters yaliyojazana yasipostahili.
 
Nenda mconvic magu

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Kutongoza ni kuwa na gari au pesa tuu.. Ova

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Anza kwa ku edit post yako na kuondoa hayo ma capital letters yaliyojazana yasipostahili.
Bi Mkubwa FaizaFoxy Kuna uwezekano wa wewe kuwa Mtu Bora Lakini unapoyumba ni hapo unapokosa Apreciation yaani Hicho kitu ni Hatari sanaa maanake ata wewe utakosa apreciation ndo maana huwa najiuliza kwanini kila mtu anakusema vibaya? Kumbe ni Hizi tabia zako zisizoendana na uzee wako anyway badilika bibi yangu Bado Nafasi unayo Kubwa tu!
 
Somea sheria ukamtetee Ruge!
Mahakama lazima wakuelewe

sent by IPhone 6 using jamii forum app
 
Somea sheria ukamtetee Ruge!
Mahakama lazima wakuelewe

sent by IPhone 6 using jamii forum app
Hahahahaaa ushauri mzurii semaa daaah nshakuwa Engineer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…