Na pia Chadema iwape vyeti wagombea wake kuthibitisha kuwa wamewafanyia vetting ya kutosha na kujiridhisha hawana njaa". Hii itazuia wanachama wa Chadema kuanza kuwasema vibaya wanapohama.Kiukweli katika mabunge yote kuanzia lile la Sapi hili la Ndugai ndio limetutia hasara sana kama taifa.
Pamekuwepo na utitiri wa chaguzi amnazo tulirudia kuchagua wabunge wale wale tuliowachagua 2015.
Kama taifa tumeingia hasara japo husemwa Demokrasia ina gharama zake lakini siyo kama hizi za kumchagua Mwita Waitara mara mbili na shukrani yake imekuwa kulitelekeza jimbo.
Chonde chonde Tume ya Uchaguzi wekeni utaratibu wa kuwapima akili wagombea ubunge wa upinzani.
Wagombea wa CCM kwa kiasi fulani wanajitambua.....wakijiuzulu wanachapa rapa hawalambi matapishi.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu hiyo sheria haitaweka na ccm kamwe.sababu hakuna mbunge anaweza kujiudhuru akijua hatorudi tena bungeni maisha yake yoteKanuni zaidi zinahitajika ili mbunge akijiuzulu apoteze sifa ya kugombea nafasi hiyo milele.
Mtu anaweza kufaulu vipimo kabla ya uchaguzi halafu kichaa akakipata akiwa ofisini.
Ni fedheha kwa vyama hivyo kuwa na watu wanaochuuzwa kama mumi au kamongo.
Mataga umedataEndelea kuweweseka kama mlawa!
Hahahaaaa...... Mmeishiwa pumzi by Lijualikali!Mataga umedata
Samahani , hivi hawa wanaojiita MATAGA huwa wanataga nini? Mayai kama Tausi au nini hasa?Mataga umedata
Kiukweli katika mabunge yote kuanzia lile la Sapi hili la Ndugai ndio limetutia hasara sana kama taifa.
Pamekuwepo na utitiri wa chaguzi amnazo tulirudia kuchagua wabunge wale wale tuliowachagua 2015.
Kama taifa tumeingia hasara japo husemwa Demokrasia ina gharama zake lakini siyo kama hizi za kumchagua Mwita Waitara mara mbili na shukrani yake imekuwa kulitelekeza jimbo.
Chonde chonde Tume ya Uchaguzi wekeni utaratibu wa kuwapima akili wagombea ubunge wa upinzani.
Wagombea wa CCM kwa kiasi fulani wanajitambua.....wakijiuzulu wanachapa rapa hawalambi matapishi.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio maana yakeSiasa ni Ajira.
Duh...!.Tupime na DNA kabisa ili tusiongozwe na wageni wasio na uchungu kwa taifa Bali nchi zao zilizowatuma
Hawa uvccm walimuiga slogan ya Trump Make America great again wakawa Wa asema 'Make Tanzania Great Again" - MatagaSamahani , hivi hawa wanaojiita MATAGA huwa wanataga nini? Mayai kama Tausi au nini hasa?
Ccm wakipima hata Mwenyekiti hatoboi. Atatoboa Jokate tu. KWa hio bibie atakuwa rais mondi akitaka kujipigia anapiga tu president Wa matagaMimi napendekeza wote wapimwe hata ccm pia maana kuna wengine wamedai wanapenda "ukichaa_kichaa".
Kiukweli katika mabunge yote kuanzia lile la Sapi hili la Ndugai ndio limetutia hasara sana kama taifa.
Pamekuwepo na utitiri wa chaguzi amnazo tulirudia kuchagua wabunge wale wale tuliowachagua 2015.
Kama taifa tumeingia hasara japo husemwa Demokrasia ina gharama zake lakini siyo kama hizi za kumchagua Mwita Waitara mara mbili na shukrani yake imekuwa kulitelekeza jimbo.
Chonde chonde Tume ya Uchaguzi wekeni utaratibu wa kuwapima akili wagombea ubunge wa upinzani.
Wagombea wa CCM kwa kiasi fulani wanajitambua, wakijiuzulu wanachapa rapa hawalambi matapishi.
Maendeleo hayana vyama!
Kwanza kabisa Yohana ibara ya 67(2)(b) imeweka wazi mbunge lazima agombee akiwa mwenye akili timamu. Hili la kuwapima ni kama kupoteza muda.Kiukweli katika mabunge yote kuanzia lile la Sapi hili la Ndugai ndio limetutia hasara sana kama taifa.
Pamekuwepo na utitiri wa chaguzi amnazo tulirudia kuchagua wabunge wale wale tuliowachagua 2015.
Kama taifa tumeingia hasara japo husemwa Demokrasia ina gharama zake lakini siyo kama hizi za kumchagua Mwita Waitara mara mbili na shukrani yake imekuwa kulitelekeza jimbo.
Chonde chonde Tume ya Uchaguzi wekeni utaratibu wa kuwapima akili wagombea ubunge wa upinzani.
Wagombea wa CCM kwa kiasi fulani wanajitambua, wakijiuzulu wanachapa rapa hawalambi matapishi.
Maendeleo hayana vyama!
..Kumbe mwanachama akinunuliwa,chama.kinakuwa kimenunuliwa...?!Samahani.lakiniIlikuwaje chama makini kiwe na wabunge wanaoweza kununuliwa?
Acha matusi mkuu, huyu Waitara ni mlevi tu na asiye utu lakini anaakili timamu.Kiukweli katika mabunge yote kuanzia lile la Sapi hili la Ndugai ndio limetutia hasara sana kama taifa.
Pamekuwepo na utitiri wa chaguzi amnazo tulirudia kuchagua wabunge wale wale tuliowachagua 2015.
Kama taifa tumeingia hasara japo husemwa Demokrasia ina gharama zake lakini siyo kama hizi za kumchagua Mwita Waitara mara mbili na shukrani yake imekuwa kulitelekeza jimbo.
Chonde chonde Tume ya Uchaguzi wekeni utaratibu wa kuwapima akili wagombea ubunge wa upinzani.
Wagombea wa CCM kwa kiasi fulani wanajitambua, wakijiuzulu wanachapa rapa hawalambi matapishi.
Maendeleo hayana vyama!
Hapana, ila kinaonyesha udhaifu mkubwa kuwatathmini watu wake kinaowakabidhi uongozi. Samahani lakini...Kumbe mwanachama akinunuliwa,chama.kinakuwa kimenunuliwa...?!Samahani.lakini