ukitoka hapo unaweza malizia na hii[URL="http://www.google.co.nz/imgres?imgurl=http://www.cokeunleashed.com.au/Coke_Unleashed/313x345%2520v2.jpg&imgrefurl=http://www.cokeunleashed.com.au/prizePartner.jsp%3Fpartner%3D18&usg=__nuH99sgxWg9nheu75bF60Ox_W1Q=&h=345&w=313&sz=134&hl=en&start=189&zoom=1&tbnid=czCfd2kmQCTERM:&tbnh=140&tbnw=126&ei=KWLaTYb_K4W0sAOH3umODA&prev=/search%3Fq%3DNandos%2Bwings%26hl%3Den%26client%3Dfirefox-a%26rls%3Dorg.mozilla:en-US😱fficial%26gbv%3D2%26biw%3D1237%26bih%3D630%26tbm%3Disch&itbs=1&iact=hc&vpx=982&vpy=175&dur=1967&hovh=236&hovw=214&tx=151&ty=171&sqi=2&page=12&ndsp=18&ved=1t:429,r:11,s:189"] [/URL]
nimeonna niweke picha yangu ili ujue jinsia yangu kijana,tumia ujana wako kufanya kazi ili badae usije ukaja kuhangaika uzeeni, sio unaona watu wanacheza bao kmda wote uanze kulalamika , sisi ujana wetu hatukuuchezea
au ni kosa kuweka picha yangu hapa?
kwani wwewe ndio upo kwenye avator yako?Saint..sina uhakika kama ni wa ukweli... hiyo picha "umekachachukua". Sehemu ya kati ya uso yaani pamoja na macho ni ya mwandishi fulani wa habari moja ya majina yake huanza na Mwa. Melo anamjua. Kwingine nisehemu ya watu wengine. Huo utundu wako!
mmmmmm we mtoto wee!! tyaani hapo ndio mtima wangu umeuchoma mtima wangu kwa nshale
mmmhhhhh lol
vipi ten a mwenzangu maneno hayatokiiiii, mimi hapo natajuaje kuwa ni utamu au unaumia
kwani wwewe ndio upo kwenye avator yako?
Imeandikwa katika vitabu vyote vitakatifu ya kuwa "Ole wake augeuzaye usiku kuwa mchana" huyu hatauona ufalme wa mbingu. Kwa siku za Karibuni huyu Kijana mtakatifu Dr Ivuga amekuwa akikikesha na kulala JF. Nimeangalia post zake nadhani huwa anaposti usiku kucha. Popote alipo lazima atumie muda kulala na walau basi kufanya tendo la ndoa na mkewe. Jamaa yeye ni JF JF ni ugonjwa huu! Mchungaji nikiwa kwenye mikesha ya kanisani ama kuombea walevi Ivuga yeye na JF JF JF...majukwaa yote, Mambo ya Kikubwa, MMU, na hata siasa
Ivuga ni wito na ombi kuna mitandao mingine kama twitter, Facebook n.k
Pumzika mkuu kwa afya yako
Mch mkuu Masa
Saint, kuna tofauti kubwa katika maelezo yako chini ya picha na swali unaloniuliza.
Kwenye maelezo yako umesema hiyo picha yako na itatusaidia tuijue jinsia yako.
Kwa nini kuniuliza swali jambo ambalo sijalitolea maelezo yoyote lakini linajieleza lenyewe?
mchungaji si unajua watu wengine kwa ku-multi-task ndio wenyewe.
inawezekana siku jamaa anapoweka kamstari kamoja au kutoa "thanks" tu
basi anakuwa ametingwa na mambo ya multi-tasking lol, na ukiona kaweka
"like" tu ndio oohoo lol
halafu hizo nyamnyamnyam kama zinaletwa ugonywa wa moyo na kisukari kwa utamu.:mod::mod:nyamnyamnyamnyamnyamnyammmmmm
Pole aisee mkuu
nimeonna niweke picha yangu ili ujue jinsia yangu kijana,tumia ujana wako kufanya kazi ili badae usije ukaja kuhangaika uzeeni, sio unaona watu wanacheza bao kmda wote uanze kulalamika , sisi ujana wetu hatukuuchezea
au ni kosa kuweka picha yangu hapa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Imeandikwa katika vitabu vyote vitakatifu ya kuwa "Ole wake augeuzaye usiku kuwa mchana" huyu hatauona ufalme wa mbingu. Kwa siku za Karibuni huyu Kijana mtakatifu Dr Ivuga amekuwa akikikesha na kulala JF. Nimeangalia post zake nadhani huwa anaposti usiku kucha. Popote alipo lazima atumie muda kulala na walau basi kufanya tendo la ndoa na mkewe. Jamaa yeye ni JF JF ni ugonjwa huu! Mchungaji nikiwa kwenye mikesha ya kanisani ama kuombea walevi Ivuga yeye na JF JF JF...majukwaa yote, Mambo ya Kikubwa, MMU, na hata siasa
Ivuga ni wito na ombi kuna mitandao mingine kama twitter, Facebook n.k
Pumzika mkuu kwa afya yako
Mch mkuu Masa