Ombi - Saint Dr Ivuga


Saint..sina uhakika kama ni wa ukweli... hiyo picha "umekachachukua". Sehemu ya kati ya uso yaani pamoja na macho ni ya mwandishi fulani wa habari moja ya majina yake huanza na Mwa. Melo anamjua. Kwingine nisehemu ya watu wengine. Huo utundu wako!
 
Saint..sina uhakika kama ni wa ukweli... hiyo picha "umekachachukua". Sehemu ya kati ya uso yaani pamoja na macho ni ya mwandishi fulani wa habari moja ya majina yake huanza na Mwa. Melo anamjua. Kwingine nisehemu ya watu wengine. Huo utundu wako!
kwani wwewe ndio upo kwenye avator yako?
 
kwani wwewe ndio upo kwenye avator yako?

Saint, kuna tofauti kubwa katika maelezo yako chini ya picha na swali unaloniuliza.

Kwenye maelezo yako umesema hiyo picha yako na itatusaidia tuijue jinsia yako.

Kwa nini kuniuliza swali jambo ambalo sijalitolea maelezo yoyote lakini linajieleza lenyewe?
 

mchungaji si unajua watu wengine kwa ku-multi-task ndio wenyewe.
inawezekana siku jamaa anapoweka kamstari kamoja au kutoa "thanks" tu
basi anakuwa ametingwa na mambo ya multi-tasking lol, na ukiona kaweka
"like" tu ndio oohoo lol
 

Intelligent decision is based on evidence.
 
mchungaji si unajua watu wengine kwa ku-multi-task ndio wenyewe.
inawezekana siku jamaa anapoweka kamstari kamoja au kutoa "thanks" tu
basi anakuwa ametingwa na mambo ya multi-tasking lol, na ukiona kaweka
"like" tu ndio oohoo lol

andika hili badiko lako kwa kiswahili sasa
 
Pole aisee mkuu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…