Ombi: Serikali iwalipe mshahara watumishi waliotia nia Ubunge

Ombi: Serikali iwalipe mshahara watumishi waliotia nia Ubunge

Wasiwe wanafiki kama huyo dogo aliyekuwa wa kwanza hapo Kawe. Video kaonekana kavaa t shati yenye maandishi ya rangi ACT lakini anasema atampigania mteule Askofu Gwajima. Mambo ya mchiriku na maneno ya kwenye kanga haya!
 
Watumishi wa umma mateso ya miaka 5 ya hakuna increments, kupanda vyeo (walimu),ongezeko la mshahara,kutolipwa malimbikizo yenu n.k iwe ni fundisho na akili zenu kuikataa ccm kwa nguvu zote.Familia zenu ziikatae ccm.

Msiwapigie kura ya urais,wabunge wala madiwani.Ndiyo wadhalilishaji wenu
 
Katika mwaka ambao watumishi walio tia Nia wameumia ni mwaka 2020 na wanaendelea kuumia, kulia, kulalamika, kuteseka na wamekuwa Kama wakimbizi ndani ya CCM na serikali Yao.Hiki Ni kilio kikubwa sana.wamechangia chama mabilioni, ya fedha.matokeo yake watumishi hao wameishia kukosa kura za maoni,kukosa mishahara ya miezi miwili,wengine wamefukuzwa kazi, wengine wamekosa hata namna ya kulipa Kodi za nyumba na mwisho wake watumishi hao wanatakiwa kusimamia uchaguzi mkuu na wanatakiwa kugombea Kura.

Watumishi walioathirika na janga Hilo ni zaidi ya 7,000 robo ya wapiga Kura wote October 28. Watumishi hai Wana wategemezi zaidi ya3 Hadi 5 nao wameathirika ,ukiunganisha watumishi na wategemezi wao ni zaidi ya watu 21,000 .mkifuata sheria itabidi hata Mh Rais na waziri mkuu warudishe mishahara waliyochukua mwaka 2015 wakati wanagombea.busara itumike.watumishi wa umma ni kundi la watu maskini Hakuna asiyetaka kujiajiri mwenyewe Bali uwezo huo hawana. Hali hii isiporekebishwa madhara yake ni makubwa baadaye .
 
Tatizo mna tamaa na muheshimiwa alishalisemea hili! Hapa umekuja kwa gia ya kupigania chama..hebh subirini uchaguzi upite kisha muandike tena barua tuangalie kama kuna nafasi!
Yeye awali alikuwa sengerema sekondary Kama mwalimu. Kama sio tamaa alitoka wapi na urais?
 
Nashauri walipwe baada ya uchaguzi mkuu, mgombea aliyeteuliwa sasa anaweza kufa au kufukuzwa wanaofata chini yake wakaitwa kuziba gepu, walipwe baada ya wateule kuapishwa.
Chizi kabisa wewe
 
Watumishi wa umma mateso ya miaka 5 ya hakuna increments, kupanda vyeo (walimu),ongezeko la mshahara,kutolipwa malimbikizo yenu n.k iwe ni fundisho na akili zenu kuikataa ccm kwa nguvu zote.Familia zenu ziikatae ccm.

Msiwapigie kura ya urais,wabunge wala madiwani.Ndiyo wadhalilishaji wenu
Nashukuru kwa observation yako mkùu, kiukweli kuna somo kubwa watumishi wa Umma hasa makada wa CCM wamejifunza kupitia hili salama la kutolipwa mishahara.

Muda utaongea.
 
Yeye awali alikuwa sengerema sekondary Kama mwalimu. Kama sio tamaa alitoka wapi na urais?
That is very good observation, lakini pia yeye ni M/KITI na hawa makada wamekipambania chama chake, je hiyo ya kuwanyima mishahara ndio ASANTE yake kwa makada wake wafia chama?? Inaumiza sana kwa kweli .
 
Pole best ake.Nilikushauri usigombee ukagombea but mwezi ujao Mambo safiii.Na vyeo vya kuteuliwa mtapata
Mimi nafikiri makada waliogombea hawakufanya makosa kugombea tena kukipigania chama chao kilichopo madarakani.

Nadhani hawa wenye mamlaka waangalie ni namna hili jeshi wanavyoweza kulipoteza na baadae wakajutia. Majuto huja baadae.
 
Naipongeza serikali kwa kushikiria ulaji wao.

CCM inawenyewe.

Wenyewe ni kina Geoff pinda, Fred lowasa, ridhiwani, Husain mwinyi, na jeska mama lao ingawa furaha kakatwa lazima ale udc
 
Wanachama wa CCM mlionyimwa mshahara hebu kuweni wazalendo kwa taifa hili,mnadhani zile Stigler's,Sgr,flyover mnazoziimba kila siku huku mkiwazodoa nazo wapinzani zinajengwa kwa pesa gani?

Tena ningemshauri Mh. Rais ashikilie huo mshahara mpk mwezi wa 11 baada ya uchaguzi maana mishahara ya wafanyakazi 7000 inaweza kutusaidia kuimalizia SGR.

Wana CCM kueni wazalendo.
 
Absolutely ! Unalolisema ni sahihi na ndio tumeshauri busara itumike ili kuondoa hili sononeko la hawa watumishi wa Umma ambao ni makada waliojitoa kukipigania chama chao majimboni.

Kinyume na hapo nafikiri majibu yatapatikana na viongozi wa Chama watakuwa tayari wameshachelewa kuziba huo ufa ndani ya chama .
Chama kitapiganiwa na Nec,usalama na vyombo vya dola nyie watumishi hata mkilia na kutishia mpk asubuhi hamna madhara.
 
Katika mwaka ambao watumishi walio tia Nia wameumia ni mwaka 2020 na wanaendelea kuumia,kulia,kulalamika,kuteseka na wamekuwa Kama wakimbizi ndani ya CCM na serikali Yao.Hiki Ni kilio kikubwa sana.wamechangia chama mabilioni, ya fedha.matokeo yake watumishi hao wameishia kukosa kura za maoni,kukosa mishahara ya miezi miwili,wengine wamefukuzwa kazi, wengine wamekosa hata namna ya kulipa Kodi za nyumba na mwisho wake watumishi hao wanatakiwa kusimamia uchaguzi mkuu na wanatakiwa kugombea Kura. Watumishi walioathirika na janga Hilo ni zaidi ya 7,000 robo ya wapiga Kura wote October 28. Watumishi hai Wana wategemezi zaidi ya3 Hadi 5 nao wameathirika ,ukiunganisha watumishi na wategemezi wao ni zaidi ya watu 21,000 .mkifuata sheria itabidi hata Mh Rais na waziri mkuu warudishe mishahara waliyochukua mwaka 2015 wakati wanagombea.busara itumike.watumishi wa umma ni kundi la watu maskini Hakuna asiyetaka kujiajiri mwenyewe Bali uwezo huo hawana. Hali hii isiporekebishwa madhara yake ni makubwa baadaye .
Wala hakuna madhara yatakayo jitokeza.

Wana CCM jitahidini muwe wazalendo,pesa hio tutaipeleka kwny miradi ya maendeleo ili tusonge mbereeeeeeeeee.
 
Hivi bado kuna watu wenye akili timamu wanaipigania ccm ??
 
Wala hakuna madhara yatakayo jitokeza.

Wana CCM jitahidini muwe wazalendo,pesa hio tutaipeleka kwny miradi ya maendeleo ili tusonge mbereeeeeeeeee.
Hahaha mkuu poa umeeleweka lakini usidharau nguvu ya mtu mwenye njaa.

Angalia maamuzi waliyofanya wajumbe majimboni .....maamuzi yao yalikuwa determined na njaa zao hivyo elfu kumi kumi ndio ziliamua nani ashinde.

Kwa sasa asiwadharau makada - watumishi walioenda kugombea kwa kutowalipa mishahara. Hilo anaweza akalijutia baadae na sio sasa .

Time will tell mkuu.
 
Magufuli ana roho ngumu dah,poleni watumishi

Mkuu kwa niaba ya Makada wote Watumishi wa Umma ambao walijtokeza kugombea nafasi za Ubunge kupitia CCM na hatimaye kunyimwa mishahara yao - nasema ASANTE SANA 👏👏👏

Lakini ipo siku nafikiri watajutia haya maamuzi waliyofanya and it will be too late for them.
 
Back
Top Bottom