bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Asilimia kubwa ya wapenda soka kesho tutakua vibanda umiza tukiwaangalia mafundi wa mpira Ajibu,Niyonzima,Kabamba,Kotei kwenye mtanange wa kukata na Shoka baina ya Yanga na Simba pale Uhuru.
Tumeambiwa uwanja wa Uhuru unachukua watu 22 elfu tu na tetesi Tiketi Zimeisha binafsi nimeshampigia Mangi simu aniwekee siti ya mbele pale kibanda umiza chake.
Ila kunufaika na burudani ya kesho Nishati ya Umeme ni muhimu hivyo tunaomba Tanesco kesho mtuachie hii nishati muhimu sisi tucheze na Luku zetu tu.
Asanteni Mpenda Soka mimi
Tumeambiwa uwanja wa Uhuru unachukua watu 22 elfu tu na tetesi Tiketi Zimeisha binafsi nimeshampigia Mangi simu aniwekee siti ya mbele pale kibanda umiza chake.
Ila kunufaika na burudani ya kesho Nishati ya Umeme ni muhimu hivyo tunaomba Tanesco kesho mtuachie hii nishati muhimu sisi tucheze na Luku zetu tu.
Asanteni Mpenda Soka mimi