Ombi: Viongozi wa dini wasioongea kiswahili wasialikwe Kitaifa

Ombi: Viongozi wa dini wasioongea kiswahili wasialikwe Kitaifa

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Hapa nchini tuna dini kuu mbili kubwa, Wakristu na Waislam.
Dini hizi zina lugha zao rasmi kwa mfano

1. Wakristu Wakatoliki wao ni Kilatini japo hapa kwetu ni majanga.

2. Waislam wote ni Kiarabu.

Nimesema lugha rasmi kwa maana ya sala ila kwenye mahubiri hutumia lugha za Taifa au mama sasa inashangaza kumuona kiongozi wa dini ambae kaalikwa na serikali katika maombolezo anatumia lugha ngeni ( Kiingereza ) katika mahubiri yake kana kwamba hakijui Kiswahili.

Hii ni katika maombolezo ya msiba wa hayati JPM.

Ombi langu viongozi hawa wasialikwe kwenye hafla hizo.
 
Hapa nchini tuna dini kuu mbili kubwa, Wakristu na Waislam.
Dini hizi zina lugha zao rasmi kwa mfano

1. Wakristu Wakatoliki wao ni Kilatini japo hapa kwetu ni majanga.

2. Waislam wote ni Kiarabu.

Nimesema lugha rasmi kwa maana ya sala ila kwenye mahubiri hutumia lugha za Taifa au mama sasa inashangaza kumuona kiongozi wa dini ambae kaalikwa na serikali katika maombolezo anatumia lugha ngeni ( Kiingereza ) katika mahubiri yake kana kwamba hakijui Kiswahili.

Hii ni katika maombolezo ya msiba wa hayati JPM.

Ombi langu viongozi hawa wasialikwe kwenye hafla hizo.
Mkiambiwa jifunzeni lugha zaidi ya moja mnabweteka sio lazima uiongee japo uelewe kinachoongelewa, hii ndio hasara yake
 
Mkiambiwa jifunzeni lugha zaidi ya moja mnabweteka sio lazima uiongee japo uelewe kinachoongelewa, hii ndio hasara yake
Una jambo, mbona Wakatoliki hapa hawakijui Kilatini japo cha kusalia tu?
 
U
Mkiambiwa jifunzeni lugha zaidi ya moja mnabweteka sio lazima uiongee japo uelewe kinachoongelewa, hii ndio hasara yake
Unatakiwa kujua lugha zaidi ya NNE dunia siyo kisiwa huyo anaehimiza Kiswahili watoto wake wanasoma ULAYA,bwetekeni MTAWALIWE KIULAIIIINI!!!
 
nahis umeguzwa na yule jamaa wa shantii om shant.ile lazima watumie ile lugha wale i brahamis wanatumia mantra bhagavad gita.maharashteree om saibaba om
 
Back
Top Bottom