mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
What the heck is this in the first place. Hivi kila mtu akija na lugha yake kweli tutafika? Kwanini msifungue Forums zenu za lugha zenu ili tusiohusika tusikereke na kukwazika? Hakuna ugonjwa mbaya kama ukabila ambao mara nyingi hupofusha na kuwafanya wanaoonekana kuwa wasomi majuha wa kawaida. Angalieni yaliyotokea Burundi, Kenya, Kosovo na Rwanda jamani. I hate this stuff so to speak.