Ommy Dimpoz afunguka kuhusu kusakamwa anajipodoa kupita kiasi

aisee jamaa mrembo sana huyo na hizo dimpos mombasa nitamuuza kwa bei nzuri sana, hivi lini happy birthday yake nimnunulie zawadi ya dressing table na dazani ya vipodozi aendelee kunawili kama mwali
 
Mhh ila mwanaume inabidi awe na mipaka ya kujipodoa Dimpoz kazidi na hizo hips sasa hatari.
 
Yalaaaah
 
afu ommy dimpo mbna ni kama anatumia gharama nying kutengeneza video bt hapigi show kama zaman wala media hazimpigi promo kama zaman? au mimi ndo sioni.
 
Tukisema huyu nae ni chakula inakua shida..
 
Kumbe huu mchezo aliuanza siku nyingi kijana.
 
Hizi habari za ubwabwaz kwa huyu jamaa zina ukweli?,au kuchafuana tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…