Ommy Dimpoz akiri kununua views Youtube kwenye wimbo wa Wanjera

Ommy Dimpoz akiri kununua views Youtube kwenye wimbo wa Wanjera

acha uongo na uelewa finyu, huwezi kununua viewers kama una matangazo ya google adsense account yako itafungwa na hautapwea hata senti.. rudi tena kusoma terms za adsense, nina uzoefu wa haya mambo mwaka wa saba sasa
Hivi unajua kinachojadiliwa hapa au unarukia mambo tu?
Ngoja nikueleweshe maana inaelekea hujui unachoongea, terms na agreements do not say about possibility ya kubreach..ungesema labda "security policy" inasema haiwezekani kununua au kuibreach iyo security system yao ningekuelewa. Ila umekurupuka bila ata kujua unachokisema.

NB: Hatujadili swala la ununuzi kuwa a crime or not, tunajadili uwezekano wa kununua views. Fikiria katika lines izo.
 
Hivi unajua kinachojadiliwa hapa au unarukia mambo tu?
Ngoja nikueleweshe maana inaelekea hujui unachoongea, terms na agreements do not say about possibility ya kubreach..ungesema labda "security policy" inasema haiwezekani kununua au kuibreach iyo security system yao ningekuelewa. Ila umekurupuka bila ata kujua unachokisema.

NB: Hatujadili swala la ununuzi kuwa a crime or not, tunajadili uwezekano wa kununua views. Fikiria katika lines izo.
unajua nimekuambia terms za nini??? hujui unachoandika unakurupuka tuu..NIJIBU KWANZA..
 
Hivi unajua kinachojadiliwa hapa au unarukia mambo tu?
Ngoja nikueleweshe maana inaelekea hujui unachoongea, terms na agreements do not say about possibility ya kubreach..ungesema labda "security policy" inasema haiwezekani kununua au kuibreach iyo security system yao ningekuelewa. Ila umekurupuka bila ata kujua unachokisema.

NB: Hatujadili swala la ununuzi kuwa a crime or not, tunajadili uwezekano wa kununua views. Fikiria katika lines izo.
UZI MZIMA UNAPOTOSHA NA KUDANGANYA, HIVI UNAJUA YOUTUBE ZIPO KATIKA FORMS ZA AINA NGAPI
 
Si umeona hapo wamesema likes 100 kwa usd 2? Kwa Demo tuweke likes elfu 10 so weka mpunga usd200 kisha ukishaamini tunawaambia wapige 40k views per day hiyo itakuwa total tunawapa usd 5000.
MIMI NASEMA HIVI HAIWEZEKANI KUNUNUA LIKES,VIEWERS NA HATA FOLLOWERS, SASA WEWE UNAYEAMINI NIDHIBITISHIE KUWA NI KWELI HILO JAMBO LINAWEZEKANA,KWAHIYO HIZO HATUA ZIFANYE WEWE KISHA TUWEKEE SCREENSHOOT HAPA AU KAMA MUNAVYOSEMA MULISHAWAHI KUNUNUA BASI WEKENI HATA HIZO SCREENSHOOT ZA ZAMANI HAPA,KINYUME NA HIVO NYINYI NI WAONGO NA HAPA SIO SEHEMU YAKE NENDENI MKAJIPANGE UPYA ..............???
 
Hivi unajua kinachojadiliwa hapa au unarukia mambo tu?
Ngoja nikueleweshe maana inaelekea hujui unachoongea, terms na agreements do not say about possibility ya kubreach..ungesema labda "security policy" inasema haiwezekani kununua au kuibreach iyo security system yao ningekuelewa. Ila umekurupuka bila ata kujua unachokisema.

NB: Hatujadili swala la ununuzi kuwa a crime or not, tunajadili uwezekano wa kununua views. Fikiria katika lines izo.
NIMEUELEWA UZI 100% uzi unazungumzia je ni kweli diamond ananunua viewers na jibu ni HAPANA NINA UHAKIKA 100% Kutokana na aina ya account yake na matangazo aliyoweka ie. matangazo ya adsense, voda na cocacola etc..
 
unajua nimekuambia terms za nini??? hujui unachoandika unakurupuka tuu..NIJIBU KWANZA..
You talking about adsense bro? Do you even know what it is? And the terms unazoongelea do not prevent the blackhats kuibreach youtube. Hapa we are discussing security sio terms.

Afu speaking of diamond, who said we are discussing diamond here?
 
Screenshot_2016-11-26-12-09-56.png
 
MIMI NASEMA HIVI HAIWEZEKANI KUNUNUA LIKES,VIEWERS NA HATA FOLLOWERS, SASA WEWE UNAYEAMINI NIDHIBITISHIE KUWA NI KWELI HILO JAMBO LINAWEZEKANA,KWAHIYO HIZO HATUA ZIFANYE WEWE KISHA TUWEKEE SCREENSHOOT HAPA AU KAMA MUNAVYOSEMA MULISHAWAHI KUNUNUA BASI WEKENI HATA HIZO SCREENSHOOT ZA ZAMANI HAPA,KINYUME NA HIVO NYINYI NI WAONGO NA HAPA SIO SEHEMU YAKE NENDENI MKAJIPANGE UPYA ..............???
mkuu ku-buy traffic au ku-exchange traffic inawezekana ila kama una matangazo kama google adsense etc ni kinyume na sheria zao utafungiwa ila kuna softiware mbalimbali za kuongeza viewers hata mimi ninazo
 
NIMEUELEWA UZI 100% uzi unazungumzia je ni kweli diamond ananunua viewers na jibu ni HAPANA NINA UHAKIKA 100% Kutokana na aina ya account yake na matangazo aliyoweka ie. matangazo ya adsense, voda na cocacola etc..
We kumbe ni mpu.mbavu, sio mjinga. Umesoma uzi wa mleta mada ukaona anajadiliwa diamond? If una argue kwa mlengo wa ushabiki wa diamond..nakupuuuza. Mchana mwema ndugu
 
kununua traffic unaweza kununua ila inategemeana na channel yako inahusiana na nini, MFANO DIAMOND hawezi kununua traffic kutokana na aina ya channel yake... HATA MIMI NINAZO SOFTWARE KIBAO ZA kuongeza viewers kwenye youtube, au website yoyote but ni against google adsense na matangazo mengine.
 
We kumbe ni mpu.mbavu, sio mjinga. Umesoma uzi wa mleta mada ukaona anajadiliwa diamond? If una argue kwa mlengo wa ushabiki wa diamond..nakupuuuza. Mchana mwema ndugu
haha we dogo una pressure ya kupanda na kushuka.. kikubwa ujue dimpoz alikua anamlenga diamond na kumbe huyo dimpoz na wewe nyumbu wake mmeingia choo cha kike.. dogo huwezi kunidanganya chochote kuhusu youtube na masuala ya website kwa kuwa kila siku ndio kazi zangu ..
 
kununua traffic unaweza kununua ila inategemeana na channel yako inahusiana na nini, MFANO DIAMOND hawezi kununua traffic kutokana na aina ya channel yake... HATA MIMI NINAZO SOFTWARE KIBAO ZA kuongeza viewers kwenye youtube, au website yoyote but ni against google adsense na matangazo mengine.
Ha ha ha...daah, wabongo tuna safari ndefu ya kujifunza tafakuri.
Wewe unasema haiwezekana afu sasa ivi unasema inawezekena. Tukueleweje?
Usitumie hisia katika arguements utaaibika sana, hisia zako zilikupeleka kufikiri tunajadili account ya diamond which was not the case katika huu mjadala.
 
haha we dogo una pressure ya kupanda na kushuka.. kikubwa ujue dimpoz alikua anamlenga diamond na kumbe huyo dimpoz na wewe nyumbu wake mmeingia choo cha kike.. dogo huwezi kunidanganya chochote kuhusu youtube na masuala ya website kwa kuwa kila siku ndio kazi zangu ..
Ha ha ha, we nahisi unataka kuonekana busy tu huna lolote unalojua. Unapingana na comments zako mwenyewe
 
MIMI NASEMA HIVI HAIWEZEKANI KUNUNUA LIKES,VIEWERS NA HATA FOLLOWERS, SASA WEWE UNAYEAMINI NIDHIBITISHIE KUWA NI KWELI HILO JAMBO LINAWEZEKANA,KWAHIYO HIZO HATUA ZIFANYE WEWE KISHA TUWEKEE SCREENSHOOT HAPA AU KAMA MUNAVYOSEMA MULISHAWAHI KUNUNUA BASI WEKENI HATA HIZO SCREENSHOOT ZA ZAMANI HAPA,KINYUME NA HIVO NYINYI NI WAONGO NA HAPA SIO SEHEMU YAKE NENDENI MKAJIPANGE UPYA ..............???
kama channel yako siyo ya kibiashara au biashara inaruhusu kununua traffic mimi naweza kukupa viewers hata 200,000 kwa kwa siku ukinipa channel yako au url ya website yako
 
Leo katika pita pita zangu kwenye YouTube nikakutana na interview ya Ommy Dimpozi.
Nilitamani sana kusikia maana mda mrefu sijamsikia.

Nilishangaa sana jinsi alivyokuwa anaongea.
Sasa umeishia kushangaa mwenyewe?! si uelezee hapa kilichokushangaza na sisi tupate kushangaa...acha kuleta stori nusu nusu, tulia uandike kitu kilichojitosheleza.
 
dogo huna lolote najua ulichokua unaamini kila channel unaweza kununua traffic.. na mimi nililenga kwa point ya dimpoz alipomlenga diamond kwamba ananunua traffic ambapo ni uwongo kwa kua yeye na wewe hamna ujuzi wowote wa channels za youtube..
 
dogo huna lolote najua ulichokua unaamini kila channel unaweza kununua traffic.. na mimi nililenga kwa point ya dimpoz alipomlenga diamond kwamba ananunua traffic ambapo ni uwongo kwa kua yeye na wewe hamna ujuzi wowote wa channels za youtube..
Ha ha ha, sawa mkuu....naona unakubali kishingo upande
 
Back
Top Bottom