Wanawake wengi huwa na tabia ya kujump into conclusion.....Nashangazwa sana tabia hii kuwa nayo wanaume pia...ndo kizazi chetu hiki...
Facts
1. Hakuna mahali ommy kamtaja Diamond...Kasema kaambiwa wasanii wanaofanya hivyo wapo so it can be anyone...Na hakuna alipoashiria kuwa ni Diamond...Huku ni kujishtukia na kujump kwenye conclusion...
2. Jambo la kununua views youtube sio ishu mpya wala kusema ni ya waafrica, hii hufanyika popote pale na wengi tu wanafanya...Na ni katika mijadala ya muda mrefu tu mitandaoni..Na ni kitu ambacho KINAWEZEKANA
3. Wapo wasanii wakubwa tu wameshawahi kutuhumiwa kununua views akiwemo justib beiber.. Tuhuma ambazo baadhi ya kampuni za statistics zilisema ni zina ukweli...
Musicians accused of 'buying virtual fans' on YouTube
4. Watanzania wengi ni wajinga. Wakishapenda kitu akili zao sijui huziweka wapi. Yani mtu ni mjinga halafu anajifanya mjuuuuuzi...JAMANI SIMU ZETU SI ZA KUPIGIA PICHA TU NA KUINGIA SOCIAL NETWORKS...Kuna kitu kinaitwa google mnaweza kuwa mnakitumia kabla ya kuja kupost utumbo humu...
5. Kuna mataahira watakuja kujibu na we si ununue? Hapa tunaongelea facts..Kwamba inawezekana au laa...Na ukweli ni kuwa inawezekana na wapo wanaofanya...Na si ujinga kufanya kama hutoshtukiwa, ni njia mojawapo ya kujitangaza..Sema wabongo wengi akili zao fupi wanadhani viewers wa youtube ni kwa ajili ya sifa tu...Ile ni njia ya kujulikana zaidi ulimwenguni....