Ommy Dimpoz aomba radhi kupitia ukurasa wake wa Facebook


hahahaha.kaul moja 2 imemuharbia
 
Kuna watu wanajitahdi kupindsha ukwel Ommy alisema "Tumechoka kuzima wasanii masikini wenye majina makubwa! Ngwear kafia South hata kusafisha maiti kwa michango ya kuunga unga" mimi siwezi kufa masikini kama Ngwear!"

yap,na hzo ndo dharau zenyewe,kula LİKE embtj
 

labda alikuwa viroba
 
Last edited by a moderator:
wasanii wetu ni ukurupukaji ndio unaowasumbua.!!

me nahisi vyombo vya habari ndivyo vilipotosha maana ya huyu dogo.hakukusudia kumtusi/kumdhalilisha marehemu lakini alikuwa anaelezea jinsi ukweli ulivyo.wanakunyonya ukiwa hai ukifa wanakutumia kujitafutia umaarufu.ndio hata mimi ningewaambia nipeni changu nikiwa hai sio msubiri nifa maskini muendeshe michango ya kinafiki kunichangia.
 
Tatizo alishindwa kulaumu blauz fm moja kwa moja kuhofia rugay
 
Hivi Mangwea alikuwa na kitegauuchumi gani? Dimpoz alikosea wapi?
 
maisha ni upside down,ngwair aliwekeza hali ilipochange akapiga bei,si vyake.thnk of scandnavia.dimpoz nimemchukia gafla
 
Tz hatupend ukweli, Ommy Dimpoz kaongea poa tu na ni ushauri wa kuzingatiwa kabsa. Achen kubweteka wasanii fanyen maisha.

Kwani kuna mtu amebisha basi juu ya ukweli aliouongea, ila yeye mwenyewe ndo ana haha kupindisha facts alizozungumza ziwe uongo.
 
Hata aombe msamaha kipigo toka T.I.D kiko palepale
 
Hata aombe msamaha kipigo toka T.I.D kiko palepale

kalapina anamtafuta sana huyu dogo Dimpoz,KALAPINA amesema ole wake Dimpoz aingie anga zake lazima ale za chembe
 
Most oftentimes it's not what you say but rather how you say what you say.

I don't think that kid meant any harm. I truly believe he meant well and had a valid point in what he wanted to convey.

I've seen him being interviewed a few times before and I must say he is not the most polished of speakers and that's likely what led him to inartfully say what he said.

But good thing he saw it appropriate to apologize.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…