Ommy Dimpoz aomba radhi kupitia ukurasa wake wa Facebook


la msingi ni kutambua wewe ni nani na kauli yako ukiitoa ina impact gani kwa jamii inayomzunguka, mwambie ajaribu kushirikisha ubongo wake vilivyo kabla ya kutoa matamko ya hovyo hovyo kama lile la mara ya kwanza, yangu ni hayo tu.
 
wasanii wetu ni ukurupukaji ndio unaowasumbua.!!

Huyu hanatofauti na Pindale mtoto wa mukulima kutoka mulele Katavi.Hata hivyo wa ukanda mmoja Kigoma na Katavi.Uropokaji ni adui mkubwa-Ulimi kiungo kidogo matatizo yake makubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…