na hiki ndicho alicho kiandika
Ommy Dimpoz
Samahani tena sana na sitawacha
kuomba msamaha,nimekubali
makosa na hivi sasa naelekea
nyumbani kwao kuomba msamaha
kwa familia na nitue kwa vituo vya
radio kuomba msamaha kwa
wabongo na wote niliowaudhi.sam
ahani sana na nakubali mimi si mtu
bila nyinyi na sikuongea kuhusu
legend Ngweir kwa ila mbaya.One
Love.