Ommy Dimpoz apigwa mawe na chupa

Status
Not open for further replies.
east zoo yeah an halaaa, ebhanaee niko around mazee!
 
tanzania ni nchi pekee ambayo ukisema mungu nisaidie nisife masikini basi raia wake watakushtaki kwa kosa la kuwatukana masikini.
 
tanzania ni nchi pekee ambayo ukisema mungu nisaidie nisife masikini basi raia wake watakushtaki kwa kosa la kuwatukana masikini.

tofauti ni kwamba tukiomba hatutaji watu majina....
 
tanzania ni nchi pekee ambayo ukisema mungu nisaidie nisife masikini basi raia wake watakushtaki kwa kosa la kuwatukana masikini.

Alitakiwa kusoma alama za nyakati.....
Umasikin ni mbaya hakuna apendaye hata marehemu mpaka umauti unamkuta huko alikuwa anasaka pesa ili auepuke umasikini.
Ujumbe wake ulikuwa una maana lakin asingetaja mtu.
 
tanzania ni nchi pekee ambayo ukisema mungu nisaidie nisife masikini basi raia wake watakushtaki kwa kosa la kuwatukana masikini.

kwani wananchi wake sio maskini?? Tanzania ni nchi ya pekee ambayo baadhi ya wachangiaje hawalijui wasemalo??
 
Tulimuelewa vibaya dogo,he had a point,shigongo kawashika masikio watu,dimpoz nae akifa ndio mtamuelewa nn anamaanisha,mimi si shabiki wa muziki wake, i feel hip hop,hajam diss the late ngwair,hatutakiwi kuwachukia wachezaji inabidi tuuchukie mchezo,kiufup ni kuwa music industry haiwanufaishi wasanii,wananyonywa sana,mtamwelewa dogo akifa.
 
Hivi ule Uzi uliokuwa anamsifu huyu Jamaa dimpoz kuwa mkali sio hapa?
 
Hivi ni ile kauli ya kutokufa maskini kama ngwair ndo inamtokea puani au Dom hawampendi tu?Kama ndo hivi huu ndo mwanzo wa mwisho wake.
 
Ni upumbavu wa mitanzania sjaona kosa la dimpoz, ingawa siwapendi wabana pia kwahili namtetea watanzania tuanze kukubaliana na ukweli,. Alichosema dogo nakiunga mkono mia kwa mia
 
Dogo hajakosea. Alitaka kutoa fundisho zuri tu kwa watu walio kwenye music industry. Lakini alichokosea ni kutaja direct jina la marehemu. Alisahau kwamba marehemu hasemwi bali hutakiwa kumuombea rehema za mwenye enzi Mungu tu. Na hilo ni kosa la hawa wengi wanaojiita ma super star,hawajui nini waongee kwenye public na nini kibaki rohoni mwao. Mum samehe bure!
 
ataisoma namba atwn nawaaminia msulubu huyo pimbi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…