Baraka Roman
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 692
- 262
Good
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani ila mi naona hapo global shigongo kaleta fitna,pole sana dimpo mwenyewe ulikuwa unakuja vizuri.aliongea kwenye amplifaya kwamba jamaa wakati wanamtaka awepo kwenye tamasha lao la matumaini alitaka kiasi fulani cha pesa wao wakawa hawana au kwa kujua wasanii ni njaa angekubali hata kidogo jamaa ndipo aliposema 'mimi kiwango changu ndicho hicho mbpna hata album sina nategemea sanaa si mnaona wasanii wa muda mrefu dwanakufa mpaka tena kuchangishana lna hali zao za maisha,sitaki kufa kama......akataja jina la cowobama ndo kesho yake kwa hasira waenda kuyakuza vile,na hakusema vibaya.....wala kumaanisha vibaya,jamaa anawalaani sana hao jamaa,wanamharibia![/QUOT
lakini hata wakati anapokea tuzo ya killi juz,alitoa maneno flani ambayo yanaendana na hizo kauli na ni wiki hiyo hiyo cowobma alizikwa,mfano ''tanzania tumechoka kuzika wasanii maskini'',alitaka watu wamfikirie vp?
Atajiju na dimpo zake,na ...
Oya msameheni bure kashakosea bac .
Next time ajifunze kuongea mbele za watu halafu ikibidi awe anaandika kwanza cha kuzungumza co kuropoka .
Jamani ila mi naona hapo global shigongo kaleta fitna,pole sana dimpo mwenyewe ulikuwa unakuja vizuri.aliongea kwenye amplifaya kwamba jamaa wakati wanamtaka awepo kwenye tamasha lao la matumaini alitaka kiasi fulani cha pesa wao wakawa hawana au kwa kujua wasanii ni njaa angekubali hata kidogo jamaa ndipo aliposema 'mimi kiwango changu ndicho hicho mbpna hata album sina nategemea sanaa si mnaona wasanii wa muda mrefu dwanakufa mpaka tena kuchangishana lna hali zao za maisha,sitaki kufa kama......akataja jina la cowobama ndo kesho yake kwa hasira waenda kuyakuza vile,na hakusema vibaya.....wala kumaanisha vibaya,jamaa anawalaani sana hao jamaa,wanamharibia!
omary mahipsi yake
Msanii Ommy dimpoz apigwa mawe na chupa kwenye show ya kili tour dodoma kwa kumdhihaki msanii aliyeipaisha dodoma,marehemu Albert Mangwea.
Za kuvulia dagaa kigoma.wanacheka aah naziona dimpoz
Jamani ila mi naona hapo global shigongo kaleta fitna,pole sana dimpo mwenyewe ulikuwa unakuja vizuri.aliongea kwenye amplifaya kwamba jamaa wakati wanamtaka awepo kwenye tamasha lao la matumaini alitaka kiasi fulani cha pesa wao wakawa hawana au kwa kujua wasanii ni njaa angekubali hata kidogo jamaa ndipo aliposema 'mimi kiwango changu ndicho hicho mbpna hata album sina nategemea sanaa si mnaona wasanii wa muda mrefu dwanakufa mpaka tena kuchangishana lna hali zao za maisha,sitaki kufa kama......akataja jina la cowobama ndo kesho yake kwa hasira waenda kuyakuza vile,na hakusema vibaya.....wala kumaanisha vibaya,jamaa anawalaani sana hao jamaa,wanamharibia!