Tulimuelewa vibaya dogo,he had a point,shigongo kawashika masikio watu,dimpoz nae akifa ndio mtamuelewa nn anamaanisha,mimi si shabiki wa muziki wake, i feel hip hop,hajam diss the late ngwair,hatutakiwi kuwachukia wachezaji inabidi tuuchukie mchezo,kiufup ni kuwa music industry haiwanufaishi wasanii,wananyonywa sana,mtamwelewa dogo akifa.
Wabongo kwa mwendo huu tutakufa maskini kwa kunyonywa milele,.. Go go goo dimpozi achana na hayo manafki yanajifanya yanampenda sana ngwear wakati ashakufa
taratibu tutaanza kumsahau huyu jamaa..
umeona
eee,rafki
wa
ngwea
amepeleka
mali
za
marehemu
ambazo
ni,Tv,sabufa
na,nguo,
exactly,pia
me,sidhani
kama
alikosea,b'se
rafiki
wangwea,amekiri
mali,za,marehemu
kazipeleka
na,lori
maalum
ambazo
ni,Tv,sabufa,nguo.
kwa kosa lipi?
Swali lako linaonesha hujui kinachoendelea...
Ndo maana yake. Kwani yeye ndiye anapanga kifo?
haya ni mapuzi ukiyauliza yanafurahia nini dimpoz kufanyiwa hivo eti kamtukana marehemu,. Wabongo akolizetu ndogo sana
sikia we bata maji, akoli zetu kweli inawezekana ni ndogo lakini akili zetu ni bright. Hili ni jukwaa la wabongo si la wamasai ka wewe