Ommy Dimpoz ataja kitu anachokiogopa zaidi maishani kwake

Hivi mwanaume unaanzaje kusutwa kwa mfano?
Huyu atakuwa mbea mbea ndio mana anaogopa kusutwa ha!h!ha!
Mwanaume na kusutwa wapi na wapi?
Hata ndo me nashangaa
Hii tabia imeanza lin
 
Kitoto cha kiume kinajivunia dimpoziπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Mpuuzi kweli. Yani mwanaume mzima badala aogope ata kufilisika eti anaogopa kusutwa.
Huenda maneno ya mondi yakawa na ukweli
 
Hili neno "kusutwa" halifai kutamkwa na mwanaume katika nafsi ya kwanza umoja "ni"(Nita)na ukiona mtoto wa kiume anatamka hivyo "(nitasutwa)" tilia mashaka uanaume wake.....!!
 
Omari Nyembo Faraji Said Faraji si Mzaliwa wa Kigoma kazaliwa Ilala Mtaa Kigoma na hata Mama yake alikuwa Mwanamke wa kizaramo na hata Bab yake Mwenyewe alimtelekeza kaanza kumtafuta baada ya kusikia mwanae ni Maarufu.
Kama umeangalia video ya Tupogo Remix, basi hautouliza hilo swali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…