Ommy Dimpoz azuiliwa kuingia Marekani!

Alitaka kuleta mambo ya town kisomo kwa wale wajomba wa immigration pale airport, thubutu yake!.
 
Akuuu mie nashangaa mbona yamekuwa haya wakati kila muda twasikia wakienda vizuri na kurudi vizuri
Evelyn Salt
 
Akuuu mie nashangaa mbona yamekuwa haya wakati kila muda twasikia wakienda vizuri na kurudi vizuri
Evelyn Salt

Soma post zilizo pita utagundua kilicho sababishwa kurudishwa!
 

Huu sio ujanja ni ujinga tu.
 
Unaomba visa online na unatoa sababu inayokupeleka huko kwenye form. Ukiitwa kwenye usaili lazima uulizwe unaenda kufanya nini. Sasa kama kwenye form na kwenye usaili kajaza vingine na alipofika huko akasema vingine basi huo ndio ujinga wenyewe unaosemwa kila siku
 

Kuna mwingine aliulizwa pale ubalozini kwanini anataka akasome chuo Us wakati hata China au India vyuo vipo basi akajibu kua ni anapenda tu Us
Hhhhhhaa akatemwaaa
 
Ommy dimpoz anaingia Tanzania Leo usiku,baada ya kurudishwa na kutakiwa kupanda ndege inayofata,meneja wake ndio amesema hivyo
 
Ukute huwa hata kodi za mapoto hawalipi ndo maana wanaenda kama tourist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…