Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Joho akusaidie tuuu bureee hakuna binadam anaetoa msaada bure
Joho... GSM.. 1+1= 11[emoji818][emoji817][emoji322]Msanii Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz amefunguka kuhusu mambo mbalimbali, kama vile wapi anapata pesa, ukaribu wake na GSM na aliyekuwa Governor wa Mombasa Hassan Joho na kuhusu kutelekezwa na baba yake mzazi.
Akiongea katika kipindi cha Salama Na Ommy Dimpoz amesema yeye Kwa Sasa yupo vizuri kifedha hivyo hata akiacha muziki ataishi bila shida yoyote Ile. Ommy Dimpoz amesema Kwa Sasa yeye ndiye mwenye tenda ya kushughulika na matangazo yote ya GSM kupitia kampuni yake ya marketing aliyoianzisha ambayo imeajiri wataalamu wa kutosha. Kampuni hiyo inajihusisha na online branding zote za GSM, posters nk.
Ommy Dimpoz amewashauri wasanii wengine kuwa na plan B katika maisha Kwa kutumia influence waliyonayo kufanya biashara zingine badala ya kutegemea muziki peke yake. Pia Ommy Dimpoz amesema yeye siyo chawa wa GSM Wala Joho.
Kuhusu ukaribu wake na Joho Ommy Dimpoz amesema Joho amemsaidia sana kipindi alichokuwa akiumwa Kwa kuwa alibeba gharama karibia zote za matibabu ya south Africa na hospital ya Nairobi. Hivyo ukaribu wao umekuwa ni kama ndugu kwani mtu anayekusaidia katika matatizo hasa ya ugonjwa bond inayokuwepo ni kubwa.
Kuhusu GSM, Ommy Dimpoz amesema ukaribu wao ni wa kibiashara zaidi, Ommy Dimpoz amesema alianza kutangaza bidhaa za GSM kama Balozi kuanzia mwaka 2015, na kwamba Kwa Sasa amefungua kampuni yake ya marketing ambayo ndiyo inayohusika na matangazo yote ya GSM.
Ommy Dimpoz amefunguka kuhusu Mahusiano hafifu kati yake na baba yake na kusema hali hiyo imesababishwa na ukweli kwamba baba yake alimtelekeza akiwa mdogo hivyo Ommy Dimpoz kulelewa na mama yake mdogo pamoja na bibi yake baada ya mama yake kufariki.
Amenukuliwa akisema "Sina kinyongo naye", Ommy Dimpoz anasema kutekeleza huko kumefanya kukosekana bond kati Yao na si kwamba yeye ana mchukia baba yake. Baba yake Ommy Dimpoz na Mama yake hawakuwahi kuoana, hivyo baba yake alikuwa anaishi na mwanamke mwingine na familia yake.
Kuhusu album
Ommy Dimpoz amesema yupo mbioni kuachia album yake ambayo anaiandaa huku executive producer akiwa pfunk majani.
Jukumu la mzazi ni kumlea mtoto, na wala siyo mtoto kumlea mzazi. Acheni kutaka mambo yaende kinyumenyume!Mimi nafikiri mzazi anatakiwa ajijenge asihitaji kulelewa na mtoto huko uzeeni etc...
Hili la watoto kutokuwa na bond nzuri na wazazi Tanzania ni kubwa mno ,ila watu hawajui tu.
Wanaume mnavozaa hakikisheni mnaleaa msifikili kuwa baba ni kuzaa tu, bila malezi na kutengeneza ukaribu zaidi na mtoto basi unajiandalia bomu lako mwenyewe na badae hakuna mtoto atakaye kujali, niamini Mimi ......
Kama mtoto amekuwa Hana ukaribu na wewe usifikili akija kukua atakuja kuwa na feelings zozote na wewe et baba yake ,hata kwa uchawi au Nini yaani hapa mtoto anakuwa Hana chembechembe za huruma na wewe kwani toka utotoni ulishindwa kutengeneza hisia zako juu yake hili swala Mimi naliona hata kwenye familia kabisa. Wazazi wanajisahau watoto wanakua hovyo hovyo tu bila kuwa na malezi ya wazazi, wakishakuwa wakubwa automatic wanajikuta hawana hisia zozote na baba, kwani muda mwingi katika ukuaji wametengwa hawajapata ule upendo,ukaribu na umoja ,unafikili akikua atakujali?
Kuhusu ommy kumtelekeza baba yake Mimi hata sishangai kabisa ,na mtaani wapo wengi sana nawaona .
Fact [emoji106][emoji106]Mimi nafikiri mzazi anatakiwa ajijenge asihitaji kulelewa na mtoto huko uzeeni etc...
[emoji23]Mbona biashara ya Dimpoz inajulika hayo mengine ni makandokando tu.
Swali la msingiHahahaaa!!! Kampuni inatumia JINA GANI?.
hawajakuona aende zake huko km hamtaki hakumjali basia asitumie jina lake kujitanabaisha hapa eti baba km mama alikuwa mapepe je??unajua nini weye?? nina shaka labda siyo baba ake wa ukweli!! damu inauma sana!Wapo pia ambao wanapata malez mazur tu lkn wakishakuwa wanakuwa hawana bond na baba zao..mm nina mifano hai
Ommy Apache visingizio! Inakuwaje awe na bond na Joho akose kuwa bond na babake? Joho anampa malezi gani?🤣Hili la watoto kutokuwa na bond nzuri na wazazi Tanzania ni kubwa mno ,ila watu hawajui tu.
Wanaume mnavozaa hakikisheni mnaleaa msifikili kuwa baba ni kuzaa tu, bila malezi na kutengeneza ukaribu zaidi na mtoto basi unajiandalia bomu lako mwenyewe na badae hakuna mtoto atakaye kujali, niamini Mimi ......
Kama mtoto amekuwa Hana ukaribu na wewe usifikili akija kukua atakuja kuwa na feelings zozote na wewe et baba yake ,hata kwa uchawi au Nini yaani hapa mtoto anakuwa Hana chembechembe za huruma na wewe kwani toka utotoni ulishindwa kutengeneza hisia zako juu yake hili swala Mimi naliona hata kwenye familia kabisa. Wazazi wanajisahau watoto wanakua hovyo hovyo tu bila kuwa na malezi ya wazazi, wakishakuwa wakubwa automatic wanajikuta hawana hisia zozote na baba, kwani muda mwingi katika ukuaji wametengwa hawajapata ule upendo,ukaribu na umoja ,unafikili akikua atakujali?
Kuhusu ommy kumtelekeza baba yake Mimi hata sishangai kabisa ,na mtaani wapo wengi sana nawaona .
Huu ujinga wa eti asitumie jina kwani aliliomba, mtu yoyote ana haki ya kujinga na mtu asiyemkubali bila kujali ni nani kwake. Atang'ang'ania vipi sehemu ambapo roho yake haipakupakubali kabisa, nina watoto wanne lakini kama atatokea mmoja au zaidi ya mmoja wakanitenga kwa sababu zao siwezi kuhangaika kudai waache kutumia jina langu as the matter of fact sina mamlaka ya kumzuia mtu yoyote duniani kutumia jina lolote hata hili nililowapa watoto kuwa ndiyo ubini wao.hawajakuona aende zake huko km hamtaki hakumjali basia asitumie jina lake kujitanabaisha hapa eti baba km mama alikuwa mapepe je??unajua nini weye?? nina shaka labda siyo baba ake wa ukweli!! damu inauma sana!
Hii yote ni akili ya wivu kmmk yaaani mwanaume mwenzako akifanikiwa ANALIWA akipotea kwenye game HAKUJIONGEZA kweli sisi kiumbe kinachoitwa BINADAMU ni hatari sanaaaNa man u wanaukame wa win win win win draw draw win win labda katumika kuhamasisha ushindi.
Nakumbuka Arsenal walishikwa na matukio ya rangi ya upinde na tangia hapo wakaanza kufanya vizuri sana
Mtegeshee mfereji wako uone kitu anakucfanyaDimpoz naye mwanaume kwan?
Umejibu na mihemuko mkuu ona !! neno ''kujitanabaisha'' na mipicha kabisa, ajili ya viji centi vya mawazo! haya ndo matatizo i!!sina mamlaka ya kumzuia mtu yoyote duniani kutumia jina lolote hata hili nililowapa watoto kuwa ndiyo ubini wao.
Msanii Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz amefunguka kuhusu mambo mbalimbali, kama vile wapi anapata pesa, ukaribu wake na GSM na aliyekuwa Governor wa Mombasa Hassan Joho na kuhusu kutelekezwa na baba yake mzazi.
Akiongea katika kipindi cha Salama Na Ommy Dimpoz amesema yeye Kwa Sasa yupo vizuri kifedha hivyo hata akiacha muziki ataishi bila shida yoyote Ile. Ommy Dimpoz amesema Kwa Sasa yeye ndiye mwenye tenda ya kushughulika na matangazo yote ya GSM kupitia kampuni yake ya marketing aliyoianzisha ambayo imeajiri wataalamu wa kutosha. Kampuni hiyo inajihusisha na online branding zote za GSM, posters nk.
Ommy Dimpoz amewashauri wasanii wengine kuwa na plan B katika maisha Kwa kutumia influence waliyonayo kufanya biashara zingine badala ya kutegemea muziki peke yake. Pia Ommy Dimpoz amesema yeye siyo chawa wa GSM Wala Joho.
Kuhusu ukaribu wake na Joho Ommy Dimpoz amesema Joho amemsaidia sana kipindi alichokuwa akiumwa Kwa kuwa alibeba gharama karibia zote za matibabu ya south Africa na hospital ya Nairobi. Hivyo ukaribu wao umekuwa ni kama ndugu kwani mtu anayekusaidia katika matatizo hasa ya ugonjwa bond inayokuwepo ni kubwa.
Kuhusu GSM, Ommy Dimpoz amesema ukaribu wao ni wa kibiashara zaidi, Ommy Dimpoz amesema alianza kutangaza bidhaa za GSM kama Balozi kuanzia mwaka 2015, na kwamba Kwa Sasa amefungua kampuni yake ya marketing ambayo ndiyo inayohusika na matangazo yote ya GSM.
Ommy Dimpoz amefunguka kuhusu Mahusiano hafifu kati yake na baba yake na kusema hali hiyo imesababishwa na ukweli kwamba baba yake alimtelekeza akiwa mdogo hivyo Ommy Dimpoz kulelewa na mama yake mdogo pamoja na bibi yake baada ya mama yake kufariki.
Amenukuliwa akisema "Sina kinyongo naye", Ommy Dimpoz anasema kutekeleza huko kumefanya kukosekana bond kati Yao na si kwamba yeye ana mchukia baba yake. Baba yake Ommy Dimpoz na Mama yake hawakuwahi kuoana, hivyo baba yake alikuwa anaishi na mwanamke mwingine na familia yake.
Kuhusu album
Ommy Dimpoz amesema yupo mbioni kuachia album yake ambayo anaiandaa huku executive producer akiwa pfunk majani.