Ommy Dimpoz kabla hajatoka

Ni hatua kwa kweli...kijana kafanya maendeleo...kajitakatisha!!!!!%% hahahaha
 
Hapo kwa mbulumundu kumeniacha hoi chezeiya mashabiki maandazi

Huyo dogo anayejiita el nino nimemmind sana kwenye uzi wake mmoja kuona anawatukana watu hovyo hovyo lakini amenifungua macho kuwa mashabiki wa Diamond vichwa vyao vipo vipi.
 
Duh kweli maisha yanakua na background......dimpoz hiyo picha kwa haraka lazima utahisi ni mvuvi au muuza migebuka
 
Kesho atawaponda wanaobeba sandarusi
Hahahaaaaa uwiiiii mi nampenda sana linex nakumbuka one day alshawah kusimulia jinc alvofika dar kwa kuungaunga, aljikuta anaingia dar na yeboyebo japo altoka kwao na viatu
 
Kila mtu anakuwa tofauti apatapo mafanikio, pia awali ni awali kwa wakati huo alikuwa yuko vizuri pia.
 
Duh hizii TBT ni noumer...watu wanatoka mbalii..nimefurahii sana kuona hii pic...
 
Tulikotoka ni mbali...

No matter who you are or where you come from your dreams are still valid
 
Daaaa maisha hayana kanuni maalumu muda wwt na dakika yyt mungu anaweza kukunyanyua sehemu moja kwenda pengine .
 
mfano mzuri wa kutokata tamaa maishani...haijalishi umetoka wapi pozi kwa pozi...ila dimpoz ilikuwepo toka kitambo
 
ha ha ha bora tazara mkuu hiyo kitu third class reli ya kati....hapo ukute ananuka shombo ya migebuka na yeboyebo zake
 
Nikitazama hii picha nina kila sabababu ya kumshukuru Mungu kwa kuniinua toka kugombea madaladala ya Gomz mixer kupanda madirishani mpaka sasa nipo nchi za watu na nina kazi nzuri na pesa za kutosha.kweli Mungu ni Mwema sana aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…