Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
unaweza kuta kuna kigogo alikueko huko kafanya all reservations....!Kweli bibie sio myonge maana ticket za all-star ni bei kweli yaan alafu yy ananunua ya VIP kabisa 🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaweza kuta kuna kigogo alikueko huko kafanya all reservations....!Kweli bibie sio myonge maana ticket za all-star ni bei kweli yaan alafu yy ananunua ya VIP kabisa 🔥
Alipewa mualiko na pia ni balozi wa NBA africa
drama kama zpiWatu wanakutana na fursa kubwa kubwa ila sio wote wanapenda drama drama kama baadhi ya wasanii
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani Kama kumbukumbu zako ziko sahihi. Alikuwa karibu sana na NBA AFRICA. So nadhani ulikuwa ni mualiko toka huko.
Drama ni pale mtu anafanya kitu kidogo ila kinageuka topic kwenye mitandaodrama kama zpi
Mnaomtaja Mond kuwa sijui nini? Hv hamjui kuwa huo mwezi atakuwa europe kwenye tour ya "live performance" na bendi yake?
Afu Ommy hilo ni deal la Rockstar, na ilibidi aende kiba lakini naye atakuwa na shows mwezi huo ndo maana anaenda Dimpoz na Seven Mosha km meneja wake na mwakilishi kiongozi wa Rockstar
NB;-
Blood Fan wa wasafi, lazima nitetee afu ndo nichangie mada
Kweli kabisa nimekumbuka ni balozi wa Africa tatizo muheshimiwa anakaambali sana na bball mpaka tunamshahau.Alipewa mualiko na pia ni balozi wa NBA africa
We jamaa Diamond alikufanyaje!?Team Domo Imewauma kinoma
We jamaa Diamond alikufanyaje!?
Wewe ni wa Mwanaume?! . Karibia thread zote ni kumkandia Diamond.
Sent using Jamii Forums mobile app
sema haonekan sana ila yupo sana tuu haswa kwenye kikapuKweli kabisa nimekumbuka ni balozi wa Africa tatizo muheshimiwa anakaambali sana na bball mpaka tunamshahau.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa Diamond alikufanyaje!?
Wewe ni wa Mwanaume?! . Karibia thread zote ni kumkandia Diamond.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ajengewe sanamuAngekua Diamond ndo Kapata hili shavu, Chawa wake Wangeropokwa sana, Diamond anaitangaza nchi kimataifa, ajengewe Sanamu
😃😃😃Angekua Diamond ndo Kapata hili shavu, Chawa wake Wangeropokwa sana, Diamond anaitangaza nchi kimataifa, ajengewe Sanamu