kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
kwanza kabisa nampongeza ommy Dimpoz kwa kusherekea siku yake ya kuzaliwa.
pili naungana naye katika kutoa shukrani kwa Mungu baada ya kutengemaa kwa afya yake.
katika ukurasa wake wa instagram ametoa waraka wa mrejesho kuhusu afya yake sambamba na kuwashukuru waliomsaidia wakati akiugua.
kati ya watu aliowashukuru ni governor wa county ya mombasa nchini kenya, hassan joho.
hiii inatoa picha gani kwa wanasiasa na viongozi wa kiserikali wa awamu hii ya jpm?.
ifahamike tu wasanii wote wakubwa wa mziki wa bongofleva walishiriki katika kampeni zilizomuingiza JPM madarakani.
pili naungana naye katika kutoa shukrani kwa Mungu baada ya kutengemaa kwa afya yake.
katika ukurasa wake wa instagram ametoa waraka wa mrejesho kuhusu afya yake sambamba na kuwashukuru waliomsaidia wakati akiugua.
kati ya watu aliowashukuru ni governor wa county ya mombasa nchini kenya, hassan joho.
hiii inatoa picha gani kwa wanasiasa na viongozi wa kiserikali wa awamu hii ya jpm?.
ifahamike tu wasanii wote wakubwa wa mziki wa bongofleva walishiriki katika kampeni zilizomuingiza JPM madarakani.