Ommy Dimpoz muombe msamaha baba yako mapema

Ommy Dimpoz muombe msamaha baba yako mapema

Wazazi ni Mungu wa pili hapa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umemaliza somo. Wasiyejuwa hili nadhani sasa wamepata somo. Yule ambae analifahamu hili (na uhakika Ommy na Nassib wanalifahamu hili coz ni elimu inatolewa sana madrasa) na kakaamuà kulipotezea kwa makusudi, ni sawa na kumkana Allah wako. Lazima itakupata in one way or another.
Namuombea Ommy apone haraka na kurekebisha pale alipokosea.
 
Wewe ndio una kichwa kizito sana, nimekwambia Mwenyezi Mungu ni mmoja tuu, hakuna wa pili wala watatu. Yeye ndie aliyemuumba mama na baba yako na wewe vile unaweza baba/mama.
Acha kukaza Kichwa mkuu, ivi umesoma ata mambo ya fasihi
 
Hapa umemaliza somo. Wasiyejuwa hili nadhani sasa wamepata somo. Yule ambae analifahamu hili (na uhakika Ommy na Nassib wanalifahamu hili coz ni elimu inatolewa sana madrasa) na kakaamuà kulipotezea kwa makusudi, ni sawa na kumkana Allah wako. Lazima itakupata in one way or another.
Namuombea Ommy apone haraka na kurekebisha pale alipokosea.
Wanaomuamini Mungu wanaamini kuna Mungu mmoja tu, hakuna Mungu wa pili wala wa tatu!

Mungu halinganishwi wala hafananishwi!

Acheni kujustify uzembe na ukwepaji wa majukumu kwa kusingizia eti Mungu wa pili.

Mungu hakosei, wazazi wanakosea!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ommy dimpoz ni mzima kabisa na wala hayuko hospitali, alienda checkup maramoja tu. Alifanyiwa akatoka hospitali baada ya masaa sita japo bado yupo southafrica

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ommy muombe msamaha baba yako mapema , mtoto huwezi weka kinyongo na mzazi wako na mambo yako yakanyooka

Baba yako hivi karibuni alishawahi kutoka kwenye vyombo vya Habari akitamka maneno mazito kuwa hata akifa leo usisogelee kaburi lake wala kumzika

Maneno yale yalikuwa ni mazito sana na ulihitajika kuyafanyia uamuzi wa busara kumaliza tofauti na baba yako, jiulize Kanumba yupo wapi sasa, maana hata yeye hadi anakufa aliluwa na chuki na baba yake,

Rejea hapa [emoji116]

Babamzazi wa Mwanamuziki wa Bongo fleva OmaryFaraji Nyembo‘OmmyDimpoz’ anayejulikanakama Mzee FarajiNyembo ametoa dukudukulake la moyoni nakusema hata akifa leo mwanayehuyoasimzike.


Diamond na wewe ukiona wenzako wananyolewa tia maji hakuna atakayemchukia mzazi wake na akabaki salama, mda ni mwalimu mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
..
 
Back
Top Bottom