Ommy dimpoz na mkewe TAZARA

Ommy dimpoz na mkewe TAZARA

Hahaaa shooting hiyo hapo ni Dimpoz na Vanessa jamaa kawaweza sana inshort kawajua wanafiki wote
 
Ukweli uko hivi, Ile picha iliyosambaa kwenye mitandao ni picha ya zamani ya Ommy Dimpoz na alihojiwa na Millard Ayo akakiri kuwa alipigwa na uncle wake zamani. Baada ya hapo akaamua kuchukulia poa akaitweet pamoja na picha aliyopiga na Mh. Kikwete aka-caption Asante Mungu. Na saa iz ndio hiyo kaamua kuonganishia na video kabisa

Shooting hiyo na hapo kapiga na Vanessa mdee .. jamaa aliamuwa kutengenezea promo
 
Mhhhh haiwezekan iwe wimbo mpya wakati picha haifanani na mwonekano wa sasa
 
Hahaaa shooting hiyo hapo ni Dimpoz na Vanessa jamaa kawaweza sana inshort kawajua wanafiki wote

Kweli dizaini aliisambaza mwenyewe ile picha, ndio maana kavaa kofia sababu ana hair style... kafaulu maana ilisambaa sana
 
Back
Top Bottom