Ukweli uko hivi, Ile picha iliyosambaa kwenye mitandao ni picha ya zamani ya Ommy Dimpoz na alihojiwa na Millard Ayo akakiri kuwa alipigwa na uncle wake zamani. Baada ya hapo akaamua kuchukulia poa akaitweet pamoja na picha aliyopiga na Mh. Kikwete aka-caption Asante Mungu. Na saa iz ndio hiyo kaamua kuonganishia na video kabisa