Ommy Dimpoz nae kaamua kutoboa pua na kusema haya

Lipua lilivyo likubwa hata sikuona kama limetobolewa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ww anetizo una utani na ommy? Mie simooo[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Juzi juzi tumesikia msanii flani wa kiume akitamani kununuliwa gari na pedeshee mmoja maarufu kama Chiefe creature, Mara tukasikia shoga mmoja apania kumpora Vanessa Mdee nyongo wake,Hata akili hazijatulia mara tukasikia kuna tamasha la kula chips huko Dar. Hivi kukuna nini huko Dar?
 
Dar jahannam
 
Mziki wa sasa bila kiki hauendi, ila angekuja na strategy mpya angetoboa mkund... angekuwa gumzo zaidi ya chura
Kawa kama wanataka kiki wakapige debe gari za mwendo kasi au wakapokee bunduki police!
 
yangu macho
 
Kuwa staa si mchezoooo! Ila kuna mambo mengine hufanyi ukiwa na akili timamu ni mpaka ujitoe ufahamu. Huyu jamaa naona kaamua kujitoa ufahamu.
 
Kwanza umepotosha kwamba Diamond alitoboa pua ilikua ni Fake-out
 
Dar kuna mengi
 
nimeishia kucheka...kiswahili kibovuuu!!!
 
oya nay wa mitego nadhani hili swali halitakosa kwnye nyimbo mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…