Ommy Dimpoz nae kaamua kutoboa pua na kusema haya


Hawa wametoka Kigoma kuja kuiharibu Dar yetu,Dar ya Makonda.
Wanaogopa kule Kigoma wataonwa na wazee wao.
YNWA
 
Acheni atoboe bhana..angekuwa mwanaume ndio kungekuwa na tatizo..mwanamke kutoboa pua ni urembo tu!
 
waache waige!! waache waige, lakini mkiyaona haya mjue mwisho wao umefika. huyo chudu sasa hivi yuko wapi?
diamond kaingilia mpaka meno!!! shit!! itakuwa history!!
 
Huyu dimpoz si nlickia kijibwa cha mchina kidogo dogo hakiwiki wala nn
 
Huo mdomo tu ulivyo si ajabu anafakamia mamihogo ya jang'ombe huyu. Na huyu ndiye kioo cha jamii na kuna watu kibao wanaomwona kuwa ni role model wao. Mungu na Atusaidie!
 
Huo mdomo tu ulivyo si ajabu anafakamia mamihogo ya jang'ombe huyu. Na huyu ndiye kioo cha jamii na kuna watu kibao wanaomwona kuwa ni role model wao. Mungu na Atusaidie!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mmmhh... BASATA achaneni na snura, kuna mwingine huku ni hatari.. dume zima hovyoooo
 


Haka kadogo nina mashaka nako, inabidi akamatwe asakwe kiuhakika haswa tuone kama ana dushelele kweli.
 
Kuna haja UN kuanzisha cku ya marijali duniani
 

Dar si salama, mombasa raha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…