100%, soko la muziki limebadilika sana tangu miaka ya 2011. Mtoa mada uko sawa, ukiangalia trend ya Bwana Omary Nyembo tangu hit song yake ya kwanza 'nai nai' 2011- '12 japo alimshirikisha Ally Salehe Kiba na ngoma zote zilizofuata zilikasimiwa na mandhar ya kisasa.
ANGALABU kwa Kiba hit zake zote zimetanabaiswa na swaga za Cindelella 2007 muziki wa masikion
Nitajie hit song hata moja aliyoifanya Kiba mwaka Jana?Awo ambao wako dynamic mbona atuwasikii kwa chart
Mziki mkuu bado ujausoma vizuri..muziki sio kuimba matusi.
Ommy dimpoz bado sana kumfikia Kiba...Nyimbo ya Alikiba ya Mshumaa Jamaa amechezea sana Kitu kinaitwa Fasihi...kwa 90% hila kuhusu kata Dimpozi kaimba sana bila creativity / Nadhani Alikiba Ataendelea kukaa Juu wala sio kwa bahati Bali uwezo wake wautungaji Mashahiri.
Anaweza asiwe ni fan wa ommy Wala diamond akawa ni mpenzi wa mziki ila kwasababu mna utimu wenu usioshiriki kwenye ligi ya Tanzania ukawa unahisi hisi tu.Sema wewe
hah.....ndo unajidanganya hivyo.....nandi duniaHawamfikii lady jay dee
Acha kumfananisha kiba na vitu vya kijinga bro , huyo muimba matus usimfananishe na king... Huu uzi umenichefua ngoja nisikilize kidog Mackuga, Mwana Dsm, Lupela af nimalizie na mshumaa....
Hit ipi alizotoa ya wimbo wake wa mwisho?Jamaa huwa anatoa wimbo mmoja anakaa hata miaka miwili anaendelea kutrend mpaka leo halafu kuna wapiga kelele fulani wanamlinganisha na hawa waimba matusi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ommy dimpoz ana ngoma gani iliyofanya vizuri kushinda ngoma ya alikiba..usiseme KATA kwani ni ushuzi mtupu..Nakuunga mkono kwasasa ommy dimpoz anafanya mziki unaopendwa na wengi na ngoma zake zinafanya vizuri kuliko za alikiba ila kwa maana ya kipaji kiba ana kipaji kikubwa kushinda ommy dimpoz
Hujawahi kuniangusha, naamini unaufahamu mziki bila ushabikiNakuunga mkono kwasasa ommy dimpoz anafanya mziki unaopendwa na wengi na ngoma zake zinafanya vizuri kuliko za alikiba ila kwa maana ya kipaji kiba ana kipaji kikubwa kushinda ommy dimpoz
Tupogo mkuu, hebu fananisha na chekecha wa Alikiba.Ommy dimpoz ana ngoma gani iliyofanya vizuri kushinda ngoma ya alikiba..usiseme KATA kwani ni ushuzi mtupu..
Aisee vijana hawajui muziki
kumbe korona ina umri?Majukwaa ya umri wako yako hapo juu utapata updates zote kuhusu swali lako.
Chart gani mkuu kama ni Dimpoz nilishakuambia issue ni bahati ila kazi zake ni moto.Awo ambao wako dynamic mbona atuwasikii kwa chart
Mziki mkuu bado ujausoma vizuri..muziki sio kuimba matusi.
kumbe korona ina umri?
Chart gani mkuu kama ni Dimpoz nilishakuambia issue ni bahati ila kazi zake ni moto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati aiombwi, ni vule Mungu anamtunuku binadam. Mbona wengi tu hawaimbi matusi na hawabahatiki?Waambie waache kuimba matusi kama wanaitaka bahati ya Alikiba.
me nacheza miguu yoteNamaanisha jukwaa lako la siasa
Kata ni ushuzi kwako na hiyo haizuii ngoma ya mtu kupendwa lakini hiyo ngoma imefanya vizuri hit song ya mwisho ya alikiba ni seduce me baada ya hapo Hana hit song alafu pia uwe unaelewa comment before unacomment situzungumzia right now on my dimpoz anafanya vizuri kuliko kibaOmmy dimpoz ana ngoma gani iliyofanya vizuri kushinda ngoma ya alikiba..usiseme KATA kwani ni ushuzi mtupu..
Aisee vijana hawajui muziki
me nacheza miguu yote
Na mwana ya Alikiba unailinganisha na ngoma gani ya Ommy dimpoz? ..Achana na AJE kwanza
Alafu pia ana ngoma inaitwa your the best ni moja ya best song ya ommy dimpoz.