GSM wana branch dubai na kawapelekea jicho jamaa washenga ni akina fa, ay , sallam, ukoo wa waarabu akina Salah kutoka Arusha wanamenya jicho la mmanyema taratibu.
Ommy sio pesa yake labda kwa msiomjua unadhani domo aliropoka kusema jamaa wanamla nyuma , mbona hakubisha akaja kuongea kwa kuomba huruma ya wananchi. Tunamjua ommy hana guts hizo kamwe.
GSM wana branch dubai na kawapelekea jicho jamaa washenga ni akina fa, ay , sallam, ukoo wa waarabu akina Salah kutoka Arusha wanamenya jicho la mmanyema taratibu.