Ommy dimpoz punguza starehe, unaboa...

Ommy dimpoz punguza starehe, unaboa...

Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
13c90de0345538dc4b0d139064895cd4.jpg
Wakat anatafuta pesa hukuwepo mwache atumie.Umesahau ile kauli mbiu 'Sipangiwi'
 
Ommy sio pesa yake labda kwa msiomjua unadhani domo aliropoka kusema jamaa wanamla nyuma , mbona hakubisha akaja kuongea kwa kuomba huruma ya wananchi. Tunamjua ommy hana guts hizo kamwe.
Lakini akiliwa si.analipwa?Ndo anatumia mwacheni
 
Huyu jamaa atakua mtaaaami sana ay
 
GSM wana branch dubai na kawapelekea jicho jamaa washenga ni akina fa, ay , sallam, ukoo wa waarabu akina Salah kutoka Arusha wanamenya jicho la mmanyema taratibu.
Mkuu Ay hayuko sana na hao jamaa Ila FA na salaah ndo mabest hasa sijui walijuana lini

Yaani hata urafiki Wa Ay na FA unachacha siku hizi

Wa FA na salaah unanoga.

AY na Fid Q nao unanoga .
 
Back
Top Bottom