mpapamwali
Senior Member
- Dec 23, 2016
- 148
- 168
Nani hajui ww ni team daimondi!!!!Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
Hv unazan kwa upuzi unaoendelea humu tz hata mm ningekuwa na mkwanjwa kwann nisiende kula bataa ughaibuni kupunguza stress za koloJiPiMe tuuYani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
Ha ha ha ha haLabda pia hiyo ni sehem ya kazi yake.
Halafu Ommy huwa hapangiwi yaani ukimpangia ndio una haribu kabsaa!
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Acha wivu na wewe tafuta waarabu wakulipie.
Sasa hivi si hakuna kupangiana?Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
Demu ndiyo kapiga hiyo picha.Unaanzaje kula bata bila kuwa na demu wako ubavuni kwako....