Ommy dimpoz punguza starehe, unaboa...

Ommy dimpoz punguza starehe, unaboa...

Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
13c90de0345538dc4b0d139064895cd4.jpg
Kwani binamu hujui kama huyo ni mchonga nakshi wa kimataifa?mziki ni cover tu
 
Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
13c90de0345538dc4b0d139064895cd4.jpg
Kama pesa inaruhusu afanyaje acha wivu ww
 
Kwani aliomba pesa kwako?
je wewe ni manager wake?
unadhani hizo pesa kakopa na anatakiwa arejeshe?
kama mtu ana nyumba gari na biashara inayomuinguzia kipato hizo pesa azifanyie nini? acha ujinga huwezi mpangia mtu kutumia pesa sake afu naona unasema kua kina Mondi na Kiba hawatoki toki nje kama yeye sasa unataka aje kwenu? au umetumwa!
Akija kuomba pesa za kupelekwa india mseme hayo hayo
 
Usinipangie cha kupost, hujaninunulia simu mxieee
Binamu naona wamikoani wanakuchemsha, issue za jiji wanazijulia wapi wengi wao walifika mjini kwa kusoma vyuo vikuu , huku wakiiwaza kariakoo watoto wa kariakoo wanaiwaza joeburg.
 
Usinipangie cha kupost, hujaninunulia simu mxieee


Halafu we inaelekea una njaa mbaya. Kazi kuwabania wenzio tu. Sometimes fanya utoke kidogo usimsikilize Le Mutuz, Bongo rhumba kali hapo!
 
Fanya kazi zako jamani unakacrika na maisha ya mtu hebu muache ucmfuatilie...[HASHTAG]#ucnipangie[/HASHTAG]
 
Asije akawa anaishi kwenye nyumba za kupanga tena vyumba vya huani! Mshaurini awekeze au ajenge, hacheni kumpa sifa za kijinga wakati mwenzenu anapotea, muulizeni Mr Nice
 
Back
Top Bottom