Me sion shida hata angevaa ndala za umojaTeh teh teh,
Mzee wa kupumuliwa kisogoni katinga oman na viyebo yebo vyake kutoka kariakoo shimoni.
Fanya kitu roho inapenda achan na walimwengu , mdomo mali yaoali kiba wanamponda hajui kuhonga, hajui kula bata 😀, leo Ommy Dimpoz anawaonyesha jinsi ya kula bata imekua nongwa😕!!..
[emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwani binamu hujui kama huyo ni mchonga nakshi wa kimataifa?mziki ni cover tuYani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
Kama pesa inaruhusu afanyaje acha wivu wwYani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina Wolper na wema ,mbona wenzio akina diamond hawana huo upuuzi, wenzio wakisafiri kikazi kama bata sio kama unavyoendekeza wewe, hata kama unalipiwa bhana, unaboa sana, mxiew
Akija kuomba pesa za kupelekwa india mseme hayo hayoKwani aliomba pesa kwako?
je wewe ni manager wake?
unadhani hizo pesa kakopa na anatakiwa arejeshe?
kama mtu ana nyumba gari na biashara inayomuinguzia kipato hizo pesa azifanyie nini? acha ujinga huwezi mpangia mtu kutumia pesa sake afu naona unasema kua kina Mondi na Kiba hawatoki toki nje kama yeye sasa unataka aje kwenu? au umetumwa!
Binamu naona wamikoani wanakuchemsha, issue za jiji wanazijulia wapi wengi wao walifika mjini kwa kusoma vyuo vikuu , huku wakiiwaza kariakoo watoto wa kariakoo wanaiwaza joeburg.Usinipangie cha kupost, hujaninunulia simu mxieee
Usinipangie cha kupost, hujaninunulia simu mxieee
Du leo umekubali matokeo kirahisi hivyo? bila hata kuachia kombora kweli siku zinatofautiana.Eeeh kila kona nakula vichambo, doooh hatari
nitafute....ukute hata yeye uwa anasafiri kikazi, utajuaje???
hivi wewe ni mbaba ama mmama?Eeeh kila kona nakula vichambo, doooh hatari