hakuna uchawi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2018
- 661
- 677
Akina nani wangemtoa shipa?Duuuu sibora wangemtoa shipa, kuliko kumuua sauti yake yakuimba kwakulitia vyupa koo lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina nani wangemtoa shipa?Duuuu sibora wangemtoa shipa, kuliko kumuua sauti yake yakuimba kwakulitia vyupa koo lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujumbe wangu wenye mantiki pale niliposema..Lakini nadhani ni ugonjwa tuWewe utakuwa mshirikina ndio sababu unajua matatizo ya kurogwa na kutorogwa
Taarifa nzuri hii kwa wapiga deki a.k.a wanyonya papungwa , walikuwa hawana amani wiki nzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahivyo hilo shipa kwako unaona kitu kidogo sana ambacho hakisumbui?Duuuu sibora wangemtoa shipa, kuliko kumuua sauti yake yakuimba kwakulitia vyupa koo lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah nimeona...but cancer si ndio upimaji wake huo or kuna alternative?angalia post yake sijui kinyama kimefanya nini
Ha ha ha ha ha ukiwepo na wewe balozi wetuTaarifa nzuri hii kwa wapiga deki a.k.a wanyonya papungwa , walikuwa hawana amani wiki nzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah nimeona...but cancer si ndio upimaji wake huo or kuna alternative?
Sent using Jamii Forums mobile app
nakazia mkuu...Funzo:Tuwe makini sana na watu tunao_hang nao around,kunywa vitu hovyo hovyo vya kupewa na watu bila wewe kujua chanzo vilivyotoka ni hatari,unaweza ukalisha kimeta au polonium210.
Kwani mwanamke na mwanaume wakilala nimatusi? Mi najua matusi Kwa jinsia mojaHayo kasema yeye ila sisi huku mashabiki
Tunakuambia stori ipe kichwa cha habari ww
Habari kamili tutakupa sisi
Uyu kapigwa juju na familia ya mond bin laden baada ya kumtukana Bi sadra kuwa kalala nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa udhamin wa iman za kiafrika
Kabisa kwenye watu 10 binaadamu mmoja,Dunia ya sasa imani imekwisha,si wazee si vijana.nakazia mkuu...
ndio maana Daimond hutembea kila sehemu na mama yake.masuala yote ni yeye..aliona mbali!
kuna watu waharibifu sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
juju halipo ila kama Sandra anao ndo kama nachomsumbua kwani alilala naye pekuHayo kasema yeye ila sisi huku mashabiki
Tunakuambia stori ipe kichwa cha habari ww
Habari kamili tutakupa sisi
Uyu kapigwa juju na familia ya mond bin laden baada ya kumtukana Bi sadra kuwa kalala nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa udhamin wa iman za kiafrika
Mtoa maada bila shaka ni mzalamo wazalomo akili zenu mnazijua wenyewe.kupigwa juju nini fafanua najua utasema kuroga kuroga nini?maradhi yapo na yapo kwa ajili yetu moja ya vitu vya kijinga ambavyo hutakiwi kuchochea kamwe ni mambo ya ushirikina.omi dimpoz hajarogwa ni maradhi tu yamemukuta kama ambavyo yangenikuta mimi na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa maada bila shaka ni mzalamo wazalomo akili zenu mnazijua wenyewe.kupigwa juju nini fafanua najua utasema kuroga kuroga nini?maradhi yapo na yapo kwa ajili yetu moja ya vitu vya kijinga ambavyo hutakiwi kuchochea kamwe ni mambo ya ushirikina.omi dimpoz hajarogwa ni maradhi tu yamemukuta kama ambavyo yangenikuta mimi na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naona umeitendea haki ID yako.Mtoa maada bila shaka ni mzalamo wazalomo akili zenu mnazijua wenyewe.kupigwa juju nini fafanua najua utasema kuroga kuroga nini?maradhi yapo na yapo kwa ajili yetu moja ya vitu vya kijinga ambavyo hutakiwi kuchochea kamwe ni mambo ya ushirikina.omi dimpoz hajarogwa ni maradhi tu yamemukuta kama ambavyo yangenikuta mimi na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app