Kila kinachokuja kwa ghafla kwenye mwili wa binadamu lazima kilete mabadiliko. Tumuombee arudi katika hali yakePole yake hata nuru imeaza kupotea.
Sucking? Sijakusoma chief!Sumu? DK Sucking? K sucking? ......
kuna mtu anatafutwa hapa ili apewe lawama...
Ameongelea Report ya DaktariSumu? DK Sucking? K sucking? ......
kuna mtu anatafutwa hapa ili apewe lawama...
mimi sio tabibu mamii..mie najuaga kuna wanaofanyiwa scan,so hiki kinyama sijui nini hata sielewi
Njia sahihi zaidi ya kupima Cancer ni kwa BiospyYeah nimeona...but cancer si ndio upimaji wake huo or kuna alternative?
Sent using Jamii Forums mobile app
alisemaga mwenyewe... siumeona hapo dkt wa pili alimwambia ana kansa ya koo... ila huyu wa mwisho ndio kasema kuwa ni sumu..mnhhh asa aliyekuja na cancer ni nani?au zilikua kiki
😂😂😂😂😂😂😂😂Wewe utakuwa mshirikina ndio sababu unajua matatizo ya kurogwa na kutorogwa
Kwa maelezo hapo juu ni baadhi ya Madaktari wa kibongo walimwambia.mnhhh asa aliyekuja na cancer ni nani?au zilikua kiki
Amemaanisha nje ya Afrika..maana Tanzania, Kenya na Afrika Kusini tayari ameshaonana na madaktari..!Hizi title muwe mnazirudia kusoma kabla ya ku click 'post'
"Inabidi niende kutibiwa nje"...nje wapi tena, Germany?
Nakumbuka na nilicomment kuwa hiyo habari imeshakanushwa baada ya mimi kuiona kwenye moja ya blog reliable.Juzi kuna member hapa alianzisha thread kua Ommy yuko hoi ICU na yeye anadai alienda hosp kumcheki kwa mbwembwe akasema saa yoyote anaweza kukata moto na mods jukwaa hili walivyo wavivu ule uzi ukaendelea kua hai na mada ambayo ilikosa uhalisia,leo Ommy anaongea hapo na Millard.
Bado hueleweki Mkuu, kwa hiyo hata baada ya hiyo operesheni huko SA, bado anahitaji matibabu zaidi?Amemaanisha nje ya Afrika..maana Tanzania, Kenya na Afrika Kusini tayari ameshaonana na madaktari..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado hueleweki Mkuu, kwa hiyo hata baada ya hiyo operesheni huko SA, bado anahitaji matibabu zaidi?
Anaogopa kusema wether ni Benign tumor au Malignant tumorYaani apewe sumu ila tumbo zima,ini zima kabsa,kilichozurika ni eosophagus tu? Watu wanakunywa pombe kali,vuta sigara sana,wanajiweka kwenye hatr ya magonjwa kama haya,wakiulizwa wanasema sumu,sumu iache tumbo salama iumize mrija wa chakula tu!?
Labda aliulizwa kama aliwahi kunywa kitu kikali kinachounguza mfano maji ya betri,acid ikaumiza esophagus,hakuna uhusiano wa sumu ya chakula/kinywaji na mrija wa chakula na hakuna daktr atahusianisha tatzo la dimpoz na kupewa sumu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye ameongea madaktari walichosema!Sumu? DK Sucking? K sucking? ......
kuna mtu anatafutwa hapa ili apewe lawama...