[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo kasema yeye ila sisi huku mashabiki
Tunakuambia stori ipe kichwa cha habari ww
Habari kamili tutakupa sisi
Uyu kapigwa juju na familia ya mond bin laden baada ya kumtukana Bi sadra kuwa kalala nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa udhamin wa iman za kiafrika
Na yule msafisha mitaro madhara yake ni yepi?Tatizo vijana wanapiga sana deki acheni hizo mambo..za kuzama uvinza..
Madhara yake yanakuja baadae alafu mnaanza tashwishwi mara hivi mara vile.
Aisee wabongo hawafai ndugu yanguNimemsikiliza Dimpoz sauti yake imekauka hauwezi kutambua kama ndio yeye,get well soon lil bro.
Unashabikia matatizo ya mwenzio wakati na wewe ni marehemu mtarajiwa, hujui utakufaje... wakati mwingine uwe na utu katika ishu sensitive, Ommy alikua mzima juzi tu hapa leo muone alivyo kwa hivyo usijihisi umemaliza safari bado ni ndefu.Kumbe we umenielewaje?
Madam mamboPole. Ommy ila sumu hiyo ni myeyuko ikaishia kooni tumbo halijaguswa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana mkuu.Aisee wabongo hawafai ndugu yangu
*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Acha ..yaan tunauana wenyewe kwa wenyeweHatari sana mkuu.
jamaa anatia huruma hatar, yan hata sauti imekuwa kama ya bibi kikongwePole sana kaka.