Alisikika akihoji Goroko mmoja anayetumia Infinix x650 [emoji2960][emoji851]Kwanza hyu Kijana Ana elimu gani mnk huwa ujifanya msomi Sana [emoji38] as if Kwamba nae kala kitambu na kuandika research
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kabisa na yeye pale ni creative director wa matangazo yote ya GSM, Kasema ana kampuni yake inahusika kusimamia matangazo ya GSM.Sio ana ukaribu ni miongoni mwa wafanyakazi wa GSM na mwisho wa mwezi anapokea mshara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lolSio Ronaldo tu
Nimeona kapiga na kina Sancho,Fred na wengine
Kiufupi hata ningekuwa mimi nimepiga picha na hao watu ningetuma picha hadi kwenye group la ukoo
Na kila picha ningetengenezea fremu yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi mbavu zinaumaaa, uwiihWanaume mna makasiriko kwa Mwanaume mwenzenu, kama mnadhani kutoa jicho ndio kunamfanya Bwana Omary awe matawi ya juu toeni na nyieeeeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anasema yy ni influencer sijui ndo nini wabobevu watuambie
Cc mkaldayo ChaliifranciscoSio Ronaldo tu
Nimeona kapiga na kina Sancho,Fred na wengine
Kiufupi hata ningekuwa mimi nimepiga picha na hao watu ningetuma picha hadi kwenye group la ukoo
Na kila picha ningetengenezea fremu yake
Kwahio unataka kusemaje Mkuu!![emoji848][emoji848]Uyu jamaa anatanua kuliko msanii yoyote hapa bongo ila anachofanya kwenye mziki utacheka
Wape dada zako waoeMwanaume miaka 35 huna mke,huna mtoto,huna mchumba hujawahi kuonekana na binti inatia ukakasi
Anza wewe uwape dada zqko machokoWape dada zako waoe
Huenda anafanya 'kazi' naeHuy kijana haijajulikana Mara moja kuwa Nani anamfadhili safar zake hzi za kwenda uko ngambo na Dubai Mara kwa Mara naonaga Ana ukaribu Sana na gsm
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo umemuonea wivu ommyUwiiiiiiii nimetamaniiiii just imagine CR7 pembeni yangu
Kwahiyo umemuonea wivu ommy