Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,305
Nimemuamini Ney wa mitego, Ommy Dimpoz jogoo hapandi mtungi,yaani we upo dsm demu wako yupo mashariki ya mbali na still unabwabwaja kusumbuliwa na mademu wakati huyo demu wako ni kama Hauna tu......Pole Dimpoz nenda hospital watakutibia tatizo lako la kutosimamisha ndingo.