Wait!!!,tuwe serious kidogo....ni kweli jamaa hapandi mtungi au ana kidude kidogo?? [emoji55] [emoji55]Nimemuamini Ney wa mitego, Ommy Dimpoz jogoo hapandi mtungi,yaani we upo dsm demu wako yupo mashariki ya mbali na still unabwabwaja kusumbuliwa na mademu wakati huyo demu wako ni kama Hauna tu......Pole Dimpoz nenda hospital watakutibia tatizo lako la kutosimamisha ndingo.
vipi hajakupitia utupe feedback?Hana lolote huyu,ni madimpoz tu
Huko si ndio like mwisho wa dunia, wao ndio watakaomwona yesu kabla ya woteVanuatu
Mh! nna shaka huyu dame kachomolewa kwenye internet ama sivyo atundike picha hapa akiwa naye close,huyu ni fix tupu.duuh,huko mi ni mgeni hongera zake lakini maana kamprove nay wrong
Ah! Wapi uongo mwingine wa kitoto kabisa.
Ommy Dimpoz ametaja sababu kubwa ya kumuweka mpenzi wake wazi ni kupunguza kasi ya wasichana wanaomwinda.
Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, kinachoruka kupitia EA Radio, Ommy Dimpoz alisema ameamua kumweka wazi mpenzi wake ili apunguze usumbufu.
“Unajua saa hizi nimeamua kumweka wazi mpenzi wangu ili wajue yupo na kupunguza usumbufu kwa watoto wa kike ambao wanadhani labda niko single, japo yupo mbali lakini kufanya hivyo inasaidia.”
Huyu ndiye mpenzi wa Ommy Dimpoz
it can happen mkuu... sometimes kuna vijana wanapata usumbufuMwanaume huwezi kulalamika kua wasichana/ wanawake wanakusumbua, hawa ni wanaume wa mkuyati na supu ya pweza.
Naanzaje kusema wanawake wananisumbua.
Mtoto akililia wembe anapewa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mh! nna shaka huyu dame kachomolewa kwenye internet ama sivyo atundike picha hapa akiwa naye close,huyu ni fix tupu.
Alinipitia tukaenda wote kariakoovipi hajakupitia utupe feedback?
Maji tu yamemkubali mbongo huyoo.raia wa wapi huyo
Hahahaaa, inawezekana kweli mkuu ila hata usipokunya kila kichaka basi sio ndio utangaze.it can happen mkuu... sometimes kuna vijana wanapata usumbufu
Ni vitu vya nadra kwa wenye bahati, wala haina shida mkuu
Uanaume sio kwamba kila kichaka unye unye tu
HahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaHuko si ndio like mwisho wa dunia, wao ndio watakaomwona yesu kabla ya wote