Ommy Dimpozi: Sitaki kufa maskini kama Ngwair

wajojo

Senior Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
155
Reaction score
83
Mwanamuzik chipukizi Ommy Dimpozi,ameonyesha kuwa na kiwango cha juu sana cha dharau kwa kumdhihaki na kumtusi mtu aliyetangulia mbele ya haki."SITAKI NIKIFA YATOKEE KAMA YA NGWAIR,AMEKUFA AFRIKA KUSINI,HATA KUUSAFIRISHA MWILI KUULETA TANZANIA IMEBIDI MPAKA WATU WACHANGIE,ILE NI AIBU SANA",alisema Ommy kwa dharau.

Vile vile Ommy baada ya kushinda tuzo ya video bora ya mwaka Ommy alibwabwaja:"jamani tumechoka kuzika wasanii maskini wenye majina makubwa",kama vile haitoshi Ommy alizidi kusisitiza kuwa HATAKI KUFA MASKINI KAMA NGWAIR,je hii kauli ni nzuri kwa mtu aliyetangulia mbele ya haki???,

=================
Habari kamili
=================

 
Who cares acha abwabwaje .. anayesaka maisha mazuri habwabwaji hovyo
 

That is from him..alichokosea ni kumtaja mtu! ajitahidi sana, wasanii wa bongo ni maarifa wamekosa! hata yeye anaweza kufa maskini tu! wenye juhudi hawadhiaki hata siku moja..Ajipime vizuri!!
 
SIRI tunasema BAYANA tunaficha. Ukweli usimame kwenye ukweli na unafiki ukae pembeni. Kufa masikini ilihali wewe no super star mi AIBU
 
Kuna ukweli ila kakosea namna ya kuongea
 
Yeye aendelee tu kukata mauno.
 
ivi kuna mtu apa duniani anapenda kufa maskini au kufa kifo cha aibu ...??? ok tunamtakia kila la kheri katika safari yake ya kufa tajiri na kifo cha kishujaa...Rip ngwea
 
Huyu mtoto anajisikia mnooo...yani majivuno tu amejaaliwa...n wat if angekuwa na deal km Diamond..show kila kukicha...contract na makampuni...si tungetukanwa kabisa.??? Lets say akifa leo..huo utajiri anao..au ana ahadi na Mungu kuwa atakufa akishamiliki gorofa kadhaa posta na kkoo...shule hamna ni ulimbukeni...maskini akipata m...ta...ko hulia mbwata...
 
kwahiyo wanafanyaje kama wanadhulumiwa??? :yell::nod:
SIRI tunasema BAYANA tunaficha. Ukweli usimame kwenye ukweli na unafiki ukae pembeni. Kufa masikini ilihali wewe no super star mi AIBU
 
Same times wasanii wetu wanakufa maskini kutokana na kupenda sana starehe! Sasa kama Ng'wea angekuwa havuti hayo masembe si angekuwa tajiri kidogo...
 
Hivi kimeimba wimbo gani hicho kitoto? atakuwa alizaliwa kwa kutanguliza migu huyo, hana nidhamu hata kwa mama yake, mjinga sana huyo dogo...
 
Tatizo la wabongo hatujazoea kuambiana ukweli......Tumekalia unafki na kuogopana.
Nakuuliza mheshimiwa wajojo Ngwea amekufa TAJIRI au MASIKINI..????
 
Last edited by a moderator:
Mwanamuzik chipukizi ommy dimpozi,ameonyesha kuwa nakiwango cha juu sana cha dharau kwa kumdhihaki na kumtusi mtu aliyetangulia mbele ya haki."SITAKI NIKIFA YATOKEE KAMA YA NGWAIR,AMEKUFA AFRIKA KUSINI,HATA KUUSAFIRISHA MWILI KUULETA TANZANIA IMEBIDI MPAKA WATU WACHANGIE,ILE NI AIBU SANA",alisema ommy kwa dharau.Vile vile ommy baada ya kushinda tuzo ya video bora ya mwaka ommy alibwabwaja:"jamani tumechoka kuzika wasanii maskini wenye majina makubwa",kama vile haitoshi ommy alizidi kusisitiza kuwa HATAKI KUFA MASKINI KAMA NGWAIR,je hii kauli ni nzuri kwa mtu aliyetangulia mbele ya haki???, Kiukweli ommy umekosea sana kusema hvo mtoaji wa riziki ni mungu
 
True wamezd kuendekeza mitung mikas bangi,ona mwenzie mr nice alivyokuwa and now alipo, hv wakitkanwa baada ya kuaga dunia mtalalamika? Acheni utoto
 
Hapa mi niona ni kuto kuelewana kwa kauli aliyotoa..ujumbe wake kama mlimsikilza vizur alikuwa na maana nzuri sana ila kilichotokea ameshindwa kuuwakilisha kwa audience na ndio mana umepokelewa tofauti ila sio eti alitoa maneno kwa kejeli.. Na ndio maana alibase kuyahamasisha makampuni yajitahidi kuwatumia wao na sio wasanii wa nje ili nao waweze kujikwamua kimaisha zaid ya walipo na km mnakumbuka alitumia mfano wa mesi kuwekwa picha nyuma ya then dimpoz anatumbuiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…