Omog abaki huko huko kanda ya Ziwa

Haji Manara mpiga debe mkuu wa Omog tunakueleza kuwa mwisho wa Omog umefika. Tunachotaka kusikia kuwa akitua Dar ataelekee kwao moja kwa moja.

Kama vipi nawe Manara tuachie timu yetu tutatafuta msemaji mwingine.

Wewe endelea kucheza visingeli, ushabiki wa mpira hauwezi.
 
Heheee.. Mtani mnawashwa nyie. Kelele nyiiiiiiiingi sasa ivi mmeanza kupuyanga wenyewe. Teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…