Nanoli
JF-Expert Member
- Oct 15, 2015
- 3,735
- 5,974
Huyu Omog mnaembeza na kumuona sio kocha nzr.. Mie nawashauri viongozi wangu wa Yanga, waongee na Omog tupate huduma yake,...
Maana ninachokiona ni bora ya Omog kuliko kocha wetu Lwandamina.... Ninachokiona Simba tatizo sio Omog, tatizo ni wahenga walionao japokua wao wenyewe wamejawa Imani na kikosi chao.... Hivyo kwangu Omog ni bora zaidi kuliko Lwandamina...
Maana ninachokiona ni bora ya Omog kuliko kocha wetu Lwandamina.... Ninachokiona Simba tatizo sio Omog, tatizo ni wahenga walionao japokua wao wenyewe wamejawa Imani na kikosi chao.... Hivyo kwangu Omog ni bora zaidi kuliko Lwandamina...