Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu kila siku polisi hua anabalaa gani?!
Mjaluo bwege sana huyo, yaani baada ya kutengeneza jina (brand), sasa analiharibu tena kwa kulitumia vibaya.
Ametumia aje vibayaMjaluo bwege sana huyo, yaani baada ya kutengeneza jina (brand), sasa analiharibu tena kwa kulitumia vibaya.
Kwake yeye basi ndiyo umaarufu unazidi kwa matukio hayoMjaluo bwege sana huyo, yaani baada ya kutengeneza jina (brand), sasa analiharibu tena kwa kulitumia vibaya.
Bongo kuna msanii anayeweza kuandamana kudai mambo fulaniCost of living sisi hapa mafisadi yanatunyoosha tu.
Duh,kulalamikia cost of living hukoMjaluo bwege sana huyo, yaani baada ya kutengeneza jina (brand), sasa analiharibu tena kwa kulitumia vibaya.
Duh,kulalamikia cost of living huko
Kenya jamaa ni bwege
Ova
Mjaluo bwege sana huyo, yaani baada ya kutengeneza jina (brand), sasa analiharibu tena kwa kulitumia vibaya.
Wakati hapo ndo anatengeneza jina na umaarufu zaidi...Mjaluo bwege sana huyo, yaani baada ya kutengeneza jina (brand), sasa analiharibu tena kwa kulitumia vibaya.
Kulalamikia cost of living kuwa ni kubwa kwako mwenzetu ni ubwege?Duh,kulalamikia cost of living huko
Kenya jamaa ni bwege
Ova
Kulalamikia cost of living kuwa ni kubwa kwako mwenzetu ni ubwege?
Mtaweza kudai katiba mpya kweli nyie kwa uoga huu?
Uchawa kwa ccmWakati hapo ndo anatengeneza jina na umaarufu zaidi...
Bora ya huyo anatengeneza jina kwa kuwatetea wananchi...sisi huku bongo watu wanapata umaarufu kwa connection za uchi, umalaya nk mfano mtu kama kajala
Wacha uoga, mtazamo tu na mawazo, ya watu kama hawa, hawaoni umuhimu wa kulilia haki zao.Kulalamikia cost of living kuwa ni kubwa kwako mwenzetu ni ubwege?
Mtaweza kudai katiba mpya kweli nyie kwa uoga huu?
Ndio kazi ya celebrity Yuko sahihi , mtu maarufu ndo hufikisha ujumbe Kwa nguvu Zaid kuliko hata kundi la watu buku.... Sisi humu ni kusifia tuu , uchawa na wakat mambo hayapo poa... Ney wa mitego ndo msanii anayedhubutuMjaluo bwege sana huyo, yaani baada ya kutengeneza jina (brand), sasa analiharibu tena kwa kulitumia vibaya.
Wasanii wengi Tz ni walamba matakoBongo kuna msanii anayeweza kuandamana kudai mambo fulani
Ova
Halafu usisahau wananchi wenyewe huwa na fikra pevu kiasi.Umaarufu na brand hapo ndio vinaongezeka sasa maana wananchi watamuunga mkono kwenye movement zake nyingi
Bongo ushawahi kusikia au kuona msanii kaandamana hivyo au kulalamika kuhusu hali ya maishaKulalamikia cost of living kuwa ni kubwa kwako mwenzetu ni ubwege?
Mtaweza kudai katiba mpya kweli nyie kwa uoga huu?