mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Nashangaaa watu wnaowaunga mkono....Wasanii wengi Tz ni walamba matako
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaaa watu wnaowaunga mkono....Wasanii wengi Tz ni walamba matako
Na kutengeneza kik zao wananchi wenye akili ndogo waanze kuwafatiliaWasanii wa Tanzania wanaweza kukata mauno tu hawana lolote la maana
Mjaluo bwege sana huyo, yaani baada ya kutengeneza jina (brand), sasa analiharibu tena kwa kulitumia vibaya.
Wakati hapo ndo anatengeneza jina na umaarufu zaidi...
Bora ya huyo anatengeneza jina kwa kuwatetea wananchi...sisi huku bongo watu wanapata umaarufu kwa connection za uchi, umalaya nk mfano mtu kama kajala
Mkuu, weulitaka nisicomment..🤔Una comment wewe ambaye hata brand huna, mwenye nayo aliyeingia gharama kuitengeneza ndo kaamua kufanya hivyo.
Siyo jukumu la msanii kuandama aBongo kuna msanii anayeweza kuandamana kudai mambo fulani
Ova